Ukitaka kuoa usioe mwanamke mwembamba, oa mwanamke mwenye shepu na makalio makubwa

Hiyo point namba moja ni UKWELI MTUPU.

mwenye kubisha na abishe.
 
Unasafari ndefu sana kujua ndoa ni nini na mwanamke yupi ana faa
 
Wanawake wenye makalio makubwa ni wazuri kwa nje yaan nikimaanisha ktk macho ya muonaji, ukitembea nae unavimba fln hivi.

Ila ktk 6x6 sio perfect sana ktk matumizi, pia inategemea huo mzigo umekaaje, kuna mizigo mingine aisee ni useless kbs yaan ni nothing.

Wembamba mnasema ni wasafi etc, hapana nakataa swala la usafi kuhusianishw na aina ya maumbile ya mtu.

Kiukwel preference yangu sio mnene wala sio wembamba ni ile midsized curved girls (Slim thick) hawa ndio vitu vyangu..

Ingawa chubby girls wanautamu wake special pia....
 
Kwahiyo unategemea umaarufu wa mwanamke ndio "kula" mfungulie biashara "sisi wateja tutakula bidhaa zake na yeye🀣
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Tujuze shepu ya mama yako ikoje
 
 
Kuna uzi nimeona umeeleza ulikua bright darasani na ni engineer uliyefungia vyeti kabatini. Hebu tueleze uhusiano ulioko kati ya big nyash na akili, naamini itasaidia wengi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…