Ukitaka kuoa usioe mwanamke mwembamba, oa mwanamke mwenye shepu na makalio makubwa

Ukitaka kuoa usioe mwanamke mwembamba, oa mwanamke mwenye shepu na makalio makubwa

1.Wanawake wembamba wana roho mbaya.
2.Wanawake wembamba hawajiamini especially unapotembea nae na mkapishana na mwanamke mwenye shepu na mitako ya haja.
3.Wanawake wenye makalio wanazaaga watoto wenye akili.
4.Wanawake wenye shepu na mitako ya haja wanajiamini sana
5.Marafiki zako wa karibu watakuheshimu sana na kukuheshimu kama mademu zao hawana big nyashi.
6.Ukioa demu mwenye big nyashi utakuwa maarufu coz kila mtu atamuongelea mkeo na itafanya kila kitu kiwe chepesi kwa upande wako.

Pole yenu vimbau mbau.
Umezaliwa afumbili na ngapi vile?!🤔
 
a curved woman with big nyashi unadhani utampata mtu lofa kama wewe? My dad was an engineer with maokoto and that so called status. Muache mshuwa afaidi uumbaji wa m/mungu.
He was an Engineer, I am an Architect, huoni delegation ya majukumu kijana wetu? Nipigie pande
 
Mki
1.Wanawake wembamba wana roho mbaya.
2.Wanawake wembamba hawajiamini especially unapotembea nae na mkapishana na mwanamke mwenye shepu na mitako ya haja.
3.Wanawake wenye makalio wanazaaga watoto wenye akili.
4.Wanawake wenye shepu na mitako ya haja wanajiamini sana
5.Marafiki zako wa karibu watakuheshimu sana na kukuheshimu kama mademu zao hawana big nyashi.
6.Ukioa demu mwenye big nyashi utakuwa maarufu coz kila mtu atamuongelea mkeo na itafanya kila kitu kiwe chepesi kwa upande wako.

Pole yenu vimbau mbau.
Fika uzeeni sisi na hivi vyembemba tunakula kilomita kadhaa kwa kutembea hatuwazi na vita ikitokea tunavibeba

Hakuna chenye faida tu hapa ulimwenguni
 
1. Wanawake wembamba wana roho mbaya.

2. Wanawake wembamba hawajiamini especially unapotembea nae na mkapishana na mwanamke mwenye shepu na mitako ya haja.

3. Wanawake wenye makalio wanazaaga watoto wenye akili.

4. Wanawake wenye shepu na mitako ya haja wanajiamini sana

5. Marafiki zako wa karibu watakuheshimu sana na kukuheshimu kama mademu zao hawana big nyashi.

6. Ukioa demu mwenye big nyashi utakuwa maarufu coz kila mtu atamuongelea mkeo na itafanya kila kitu kiwe chepesi kwa upande wako.

Pole yenu vimbau mbau.
Ujana bhana....
 
Back
Top Bottom