Ukitaka kuoa usioe mwanamke mwembamba, oa mwanamke mwenye shepu na makalio makubwa

Ukitaka kuoa usioe mwanamke mwembamba, oa mwanamke mwenye shepu na makalio makubwa

Ukitaka kuoa, funua kichwani kwake kwanza uchungulie kama ubongo wa kati umo na unafanya kazi? Ukishajidhihirisha unafunika kisha unamuweka ndani. Ubongo hauishi matakoni. 😁
 
1. Wanawake wembamba wana roho mbaya.

2. Wanawake wembamba hawajiamini especially unapotembea nae na mkapishana na mwanamke mwenye shepu na mitako ya haja.

3. Wanawake wenye makalio wanazaaga watoto wenye akili.

4. Wanawake wenye shepu na mitako ya haja wanajiamini sana

5. Marafiki zako wa karibu watakuheshimu sana na kukuheshimu kama mademu zao hawana big nyashi.

6. Ukioa demu mwenye big nyashi utakuwa maarufu coz kila mtu atamuongelea mkeo na itafanya kila kitu kiwe chepesi kwa upande wako.

Pole yenu vimbau mbau.
wenye big nyash hawana msimamo ni mama huruma sana, kama haujajua kumbe wanagawa sana, kiufupi ukijitilisha huruma unakula, halafu mara nyingi akili zao ziko kwenye hiyo nyash, kusema wanaozaa watoto wenye akili sio kweli wengi wao watoto wao inakuwaga problem ni slow learner
 
1. Wanawake wembamba wana roho mbaya.

2. Wanawake wembamba hawajiamini especially unapotembea nae na mkapishana na mwanamke mwenye shepu na mitako ya haja.

3. Wanawake wenye makalio wanazaaga watoto wenye akili.

4. Wanawake wenye shepu na mitako ya haja wanajiamini sana

5. Marafiki zako wa karibu watakuheshimu sana na kukuheshimu kama mademu zao hawana big nyashi.

6. Ukioa demu mwenye big nyashi utakuwa maarufu coz kila mtu atamuongelea mkeo na itafanya kila kitu kiwe chepesi kwa upande wako.

Pole yenu vimbau mbau.
Mlimbishia Sheikh Kipozeo leo mnaafikiana nae
 
1. Wanawake wembamba wana roho mbaya.

2. Wanawake wembamba hawajiamini especially unapotembea nae na mkapishana na mwanamke mwenye shepu na mitako ya haja.

3. Wanawake wenye makalio wanazaaga watoto wenye akili.

4. Wanawake wenye shepu na mitako ya haja wanajiamini sana

5. Marafiki zako wa karibu watakuheshimu sana na kukuheshimu kama mademu zao hawana big nyashi.

6. Ukioa demu mwenye big nyashi utakuwa maarufu coz kila mtu atamuongelea mkeo na itafanya kila kitu kiwe chepesi kwa upande wako.

Pole yenu vimbau mbau.
Okay, vipi faza wako alikusikia kabla hujazaliwa akaoa big nyashi?
 
Back
Top Bottom