Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Daaah kmmke wanyarwanda ukimpata pini unaweza kumlambalamba mpaka masikioni daaah asee sena ngoja nivute muda tu nitawamanya sema sijui kwann sikutanagi na warwanda asee 🤔
Mmhhhh Hawa watu ni watamuu mnooo alafu Sasa uwe unachelewa kukojoaa, maana K zao ni za kuloana Masaa 24, kwahiyo utapigaaaa weeeee, Ngoma Iko mbichiiiiiiiiii
 
[emoji38][emoji38][emoji38]
Elon Musk sijui anajua watu wanajifunza styles za ngongo kwenye app yake
Mungu atusaidie tu ngozi nyeusi maana tunacheka hapa ila mmhhh hapana
Shida ipo kwetu watumiaji jins tulivyo u-switch mtandao wake na kuwa site ya ngono hata hapa jf ni vile tu watu hawawezi ku upload video za ngono ndo maana wameamua waiwakilishe kwa njia ya maandishi unakuta mtu anaielezea ngono hadi shetani mwenyewe ana take note
 
Nimekupenda bure
Nimeacha kufokafoka na nimewazoea

Kuna the first internet fight walianzisha waarabu wawili wanapiga screen kwa hasira huku wakitukanana

Nilicheka sana yaani within a week walikuwa maarufu duniani
Unapata hasira mpaka unagombana na screen [emoji1]

Ila nimekuelewa mwanangu

Si bora hata kufoka mwanzon ulikua unaweza[emoji16]
Mimi siwezi kabisa nakaa kimya kama sijaona

Wewe ukitaka tu kua maarufu fanya kitu cha tofauti halafu jitoe ufahamu kua famous viral chap tuu
Fanya mpango tuwe Yahoo boy bas tupige hela chap
Maana walamba asali ni wale wale hivo tutafute pa kutokea aisee
 
..mkuu mtoa mada umeongea ukweli ulio-wazi. Vijana wa Tz tunaangamia sana hasa kiuchumi kwa kuharibu akili aliyotupa Mungu..hatupo makini kwenye vitu basic vya maisha sbbu akili zimeharibika kwa mizaha, ngono, etc..na hili lipo wazi maana hata Biblia imesema hana akili aziniye na mwanamke; usiketi barazani pa wenye mizaha (Zab 26;5), mazungumzo mabaya huharibu tabia njema (1 Corinth 15:33)!

..kurelax ni muhimu sana na social chatting is healthy but vijana wa tz muda mwingi tunaishia kwenye mambo yasiyo na maana kabisa na kuharibu akili zetu. Pia watu wanachanganya kuwa makini ni kujadili mambo ya siasa..this is big NO..hakuna mambo yanayogusa vijana kama uchumi..tuna resources nyingi sana mataifa ya nje yanakuja yanafanikiwa..wahindi&waarabu hawafatilii siasa wao wanakomaa kupeana info na kujadiliana fursa za kiuchumi wanafanikiwa sana. Vijana wa mataifa mengine fikra zao zipo vizuri sana na sisi tunaweza tukibadilika. Social iwepo ila nguvu kubwa tuweke kwenye uchumi na info za fursa.
 
Back
Top Bottom