Nchi ipo uchumi wa kati mzee babaNaona kipimo cha umakini skuizi ni gari ehhh.
Dunia inaenda kasi sana skuizi...😂
Bila kuuliza mkuu[emoji1787]Ina maana tusio na magari ni watu wa hovyo moja kwa moja [emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Ina maana tusio na magari ni watu wa hovyo moja kwa moja [emoji23]
Bila kuuliza mkuu[emoji1787]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Screpa labda...Hakuna kagari ka laki 5 jamani [emoji23][emoji23]
Screpa labda...
Ina maana tusio na magari ni watu wa hovyo moja kwa moja [emoji23]
Acha porojo wewe Umakin huangaliwa kwenye kufanya Maamuzi (Decision making) kiuchumi, kisiasa na kijamii Kuanzia level ya Household mpaka Taifa na siyo habar ya kuegesha gari..Salamu Wakuu,
Ukitaka kupima umakini wa mtu kwenye mambo mengine angalia anavyoegesha gari na pia anavyoendesha utagundua huyu ni mtu wa namna gani.
Mara nyingi mtu aliyemakini barabarani au akiegesha gari, anakuwa pia makini katika mambo mengine kama kufanya maamuzi.
View attachment 1886872