Ukitaka kupima umakini wa mtu kwenye mambo mengine angalia anavyoegesha gari

Ukitaka kupima umakini wa mtu kwenye mambo mengine angalia anavyoegesha gari

Mtu asiye makini ni kama mleta mada anayefanya kila kitu kwa ujumla wakati watu ni tofauti. Mimi nasema huyo aliyepaki gari ni learner na ndio kwanza kaendesha hilo gari aina hiyo hajawahi liendesha.

Ukizoea Renault Kwid kisha ukapewa daladala uipaki huwezi fanya vema kama dereva wa daladala
 
Salamu Wakuu,

Ukitaka kupima umakini wa mtu kwenye mambo mengine angalia anavyoegesha gari na pia anavyoendesha utagundua huyu ni mtu wa namna gani.

Mara nyingi mtu aliyemakini barabarani au akiegesha gari, anakuwa pia makini katika mambo mengine kama kufanya maamuzi.


View attachment 1886872
Ambao hawaendishi tunawapimaje Bwana Mbegu!
Sisi mbao huwa hatuendeshi, tunaweza kuwapima wale ambao huwa wanaoendesha kwa kuwauliza maswali; kwamba je, wanapokuwa wamefika kwenye parking, huwa wanapakije magari yao? Huwa wanapaki vizuri au vibaya?. Mimi tayari nimeshamuuliza swali hili mleta uzi huu
 
Back
Top Bottom