Unaweza kupimwa kwa namna unavyotembea tu.
Mjitathimini 😄😄Ina maana tusio na magari ni watu wa hovyo moja kwa moja [emoji23]
Mjitathimini [emoji1][emoji1]
Ahahahahaaa... Unataka kujuana na mafundi woteeeHakuna kagari ka laki 5 jamani [emoji23][emoji23]
Ahahahahaaa... Unataka kujuana na mafundi woteee
Tutaangalia unavyotembea barabarani..au unavyopanda daladalaIna maana tusio na magari ni watu wa hovyo moja kwa moja [emoji23]
Salamu Wakuu,
Ukitaka kupima umakini wa mtu kwenye mambo mengine angalia anavyoegesha gari na pia anavyoendesha utagundua huyu ni mtu wa namna gani.
Mara nyingi mtu aliyemakini barabarani au akiegesha gari, anakuwa pia makini katika mambo mengine kama kufanya maamuzi.
View attachment 1886872
Sisi mbao huwa hatuendeshi, tunaweza kuwapima wale ambao huwa wanaoendesha kwa kuwauliza maswali; kwamba je, wanapokuwa wamefika kwenye parking, huwa wanapakije magari yao? Huwa wanapaki vizuri au vibaya?. Mimi tayari nimeshamuuliza swali hili mleta uzi huuAmbao hawaendishi tunawapimaje Bwana Mbegu!
Tutawapima kwa kusikiliza mahojiano yao na vyombo vya habari.Ambao hawaendishi tunawapimaje Bwana Mbegu!
Hawa wanatakiwa waripoti mara moja Mirembe Hosp maana kama ni fujo Miguna wa miguna arudi shule.
Waendesha subaru sasa sijuwi itakuwaje
Tutaangalia unavyotembea barabarani..au unavyopanda daladala
VizuriBasi ndo mana shemeji yenu akili yake imetulia na ana maamuzi mazuri [emoji7]
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaah kwahiyo nikiwa natembea ile unaenda kama unarudi bado nakua wa hovyo [emoji23]
Eewaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]