Ukitaka kutengwa na wasanii jiweke karibu na WCB

Ukitaka kutengwa na wasanii jiweke karibu na WCB

Nani?Hata kama tukimjua sio tatizo bali swala wasanii wenyewe wajitambue na wajue wanataka nini.
Unachongea ni sahihi kabisa,tatizo tayari chuki na fitina zimeenea kila kona na amewarithisha watu hizo chuki na fitina.Siyo TV,Radio,Magazeti,mitandao ya kijamii chuki zipo wewe hulioni hili?
 
Unachongea ni sahihi kabisa,tatizo tayari chuki na fitina zimeenea kila kona na amewarithisha watu hizo chuki na fitina.Siyo TV,Radio,Magazeti,mitandao ya kijamii chuki zipo wewe hulioni hili?
Naliona lakini kama wasanii wangekuwa na vision inayofanana kuhusu mziki wao nina uhakika hiyo mizengwe isingekuwa na athari zozote kwenye mziki wao,tatizo lao wamekubali wenyewe kugawanywa kwenye makundi.
 
Mashabiki wa WCB bwana ukiikosoa WCB basi una chuki binafsi asa kwan lazima kila mtu apende unachopenda wewe...wenyewe wanahisi WCB ndo wana haki yakupeeeenxwa na kusikizwa ila wengine hapana wasipendwe wala kusikizwa UJUHA HUO tena UZWAZWA
 
Like zipo 5 pale ulisema sitopata hata 2 nyau we...tatizo lenu mnalazimishwa mpendwe na kila mtu kwan ni lazima kila mtu apende WCB kaka?...wengine HATUWAELEWIIIIII MSITULAZIMISHE hatuwaelewi KUANZIA TUNGO ZENU HADI LIFE STYLE hatuwaelewi yani na mm n mmoja wapo siwaelewiiiii atlist RAYVAN waliobaki woooooooote MTANISAMEHE kwa kweli SIWAELEWIIIIIIII tungo hadi maisha wanayoishi.
Mzee baba ulichoandika hapa Ni sawa na ushuzi + mavi na sijui km huta pata hata like 2 hata watu kukuunga mkono Kwanza kabisa huweleweki unasimamia Nini kwenye hoja Cha pili umeonesha we Ni mashabiki wa kiba cha tatu umeongea vitu visivyo na uhasilia mzee kajipange tena ndo uje kucomment
 
Asa kaka watanzania tupo karibu mil 55 afu uanakuja kunipigia kelele kwa mtu mwwnye subscribers mil 2 UPO SAWA UPSTAIRS?...hiyo ni kama kuwa wa kwanza kwenue kundi la wasio na akili me nkajua ur going to talk of atleast 10 M subs.
Hivi utawezaje kuichunia WCB?
Boss wake ndiye mTZ anayeongoza kwa followers.
Wanamiliki YouTube channels mbili zenye subscribers wengi zaidi.

Wana media hivi una akili wewe?
 
Hivi mpaka anafanya nyimbo na Diamond Davido alikuwa na hit ngapi,ukiitoa GOBE na Skelewu alafu umfananishe na huyu wa sasa ambaye Ana utitiri wa tuzo kibao na hiti kibao.
Huyu wa sasa ALOTANGAZA KUFANYA KAZI NA ALI KIBA ana hits nyingi zaidi.
 
Hii ndio habari iliyopo ,msanii yeyote ukitaka kutenge na media zingine na wasanii wengine jiweke karibu na record label ya WCB.
Dully Sykes amethibitisha Jana wakati anahojiwa na bongo5.,kuwa anachukiwa na wasanii wenzake kisa kuwa karibu na WCB.

Pia Niko karibu na baadhi ya wasanii wanakuambia live bifu ni kubwa chuki ni kubwa xana.
Mfano mzuri juzi hapa kiba aliulizwa kuhusu kukutana jukwaa1 na harmonize lakini cha kushangaza alikimbia camera., jambo la ajabu km ye anashida na diamond ,hamo anahusika VP.

Mapambano makali yakiongozwa na mtu1 anaitwa b12 yanaandiwa kuangalia namna ya kuidondosha WCB kwa vyovyote vile.
Mkakati1 wapo ni kupiga marufuku wasanii wakubwa wasishirikiane nao,pia kuhakisha makampuni hayafanyi udhamini kwa WCB.

Zamani shilole alikuwa close na WCB kapigwa mkwara amejiweka mbali kwa sasa.

Lakini kitu kinachokwamisha ni ili entertainment iende huwezi kuwakwepa WCB,mda ule wa kufanyana km watoto uungu MTU haupo tena.
Ndio maana WCB wana endorsement kubwa kwenye radio na wasanii wao.
Nawashauri wasanii waache chuki haisaidii hata kidogo.
Hahah. Ile ya kiba kutoka mbio nilishangaa hata mimi. Ila mafanikio ya wcb ndio inwafanya wachukiwe.
 
Kasome tena nlichoandika kaka..
Diamond anafanya muziki wa biashara na anataka kuuza mpaka nje ya nchi. Hata kama mimi siwezi kufanya na kila msanii ili mradi anapesa ninazozitaka. Huko ndiko kujishusha chini wakati unataka kwenda juu.
Uwe unatumia kichwa kufikiri.
 
Kaka kizuri kwako siyo lazima kiwe kizuri pia kwa mwingine unatumia kichwa kipi kufikiri?
Mimi huwa sina timu ila napenda muziki mzuri. Wasanii kinachowabeba ni kuimba muziki mzuri na siyo vinginevyo. WCB wanaimba muziki mzuri ndiyo maana wapo kwenye chati. Unajua kuna watu wanaongozwa na ushabiki na hisia.
Muziki mzuri ndiyo unaowabeba WCB na si kingine.
 
Ruge Alikua ni boss wa clouds na Lawama zilikua zikimuangukia yeye. Yale yalikua maamuzi ya clouds hata baada ya kufa Ruge Diamond na Jide bado nyimbo zao hazipigwi clouds.
So tatizo halikua Ruge kama mtu Bali Ruge kama boss wa clouds. Na tatizo limebaki vilevile Labada mpaka uongozi wa clouds uamue kurekebisha mambo
Na wabaki tu hivo hivo na mateso yao .. vijana wanatoboa kimataifa so Kenya .Burundi ..ulaya na kote huko hakuna clouds media mwisho wao ni bingoooooo .... Siku wcb wakitengwa na YouTube ao Instagraam ndo nitajuwa anguko lao limefika
 
WCB ni Kama maji ukishindwa kuyanywa basi utayapikia. Hawawezi tena shindana na Diamond, clouds wanafeli
 
Back
Top Bottom