Ukitaka kuwa tajiri, usiende shuleni

mkuu nisingeweka iyo heading ningesoma mimi na mke wangu tuu.hakuna mtu angepata maudhui.na kujadili hii mada
mi ni mdau wa elimu ila tumekosa elimu ya finance

Okay, kumbe ulitaka watu wavutiwe kujua kilichopo ndani. Kweli tunakosa financial education. Mfano utakuta kuna watu wanasifia wenzao eti fulani ana gari tatu za kutembelea. Wanadhani kuwa na gari zaidi ya moja ni utajiri kumbe ni kujibebesha mzigo, ki ukweli gari la kutanulia halizalishi pesa, lakini hasie fahamu ilo ataona hiyo ni utajiri
 
Hujaweka kiwango ambacho mtu anaitwa tajiri, kuna watu wamesoma hadi phd na wana utajiri wao mzuri.

Halafu vitu vingine haviwezi ku-apply kwenye mazingira ya bongo.

Imemchukua zuckerberg miaka mitatu kuwa bilionea, jiulize bakhressa imemchukua miaka mingapi?

Wangapi ambao hawajaenda shule ni matajiri? Nadhani africa tungekuwa na matajiri kuliko mbele.
 

Umemsahau Dr Mengi
 
Najua wewe ni muumini wa elimu lakini umetengeneza heading ili watu wavutiwe kuisoma.

Kama ujinga ndio mafanikio basi bara la Africa lingekuwa namba moja kwa utajiri. Maana wasiojua kusoma wako kibao, wsiomaliza hata la saba wako kibao
 
Kiwango chako cha elimu ndo kiwango cha utajiri wako.mana mtu msomi anaujasiri wakuamini.mfmo wa elimu tz ni tegemezi.
 

Brilliant!
 
mbona hao matajiri wapo bize kusomesha watoto wao? Kama ni hivyo si wangegoma kuwasomesha
haiko hivyo,haina maana mtu usisome ...ila utakapokomea kutokana na sababu mbalimbali haina maana umefeli mafanikio ktk maisha
 
ni kweliii...aisee yahitaji mkakati mzito..sitafanya kazi ya kuajiriwa for long
 
ila pia kwenda ndo usiache kwenda shule kabisaa...u have to go to school to learn the 'basics' na kujua dunia inaendaje,then find ur way out ..wapo wengi waliojiajiri kutokana na visomo vyao na wamefanikiwa sana,mf.auditor kufungua auditing firm,lawyers na firm zao,doctor's na hospitala u medical centres nk...
kubaya ni ile kudhani kwamba ukishaajiriwa basi ndo umefika na maisha yanaishia hapo,unless kama mtu unaridhika na vidogo...ila kama mtu unapenda kuenjoy life zaidi,travels and vacations ,more time kula bata ,and having most of the things u want in life KUJIAJIRI NDO MPANGO MZIMA
 
bora umemwambia ukweli huyo mkuu kwani naona anajichanganya zaidi

kusoma kunapanua ufahamu wako na kupata maarifa ambayo hukuyapata na kunaondoa ujinga


 
elimu ya tanzania usingizi tu ndo maaana tunalilia kazi za kuajiriwa , mtu amesoma ila huwezi kujua mpaka akupe cheti bila hivyo unaweza kudhan ni mkulima wa zamani, kwa alivyo na akili fupi
Teh teh tehe!!
Eti mkulima wa zamani,
 
Tunawahitaji wote katika maendeleo,wote tuki ajiliwa nani atamwajiri mwenzake,makampuni yanawahitaji wafanyakazi ili uchumi ukue sasa acheni wengine waajiliwe,ila mimi natakata kijiajiri na kuajili wengine kwa sababu nimechagua hivyo,so kama na wewe umechagua kuajiliwa fresh njoo nikuajili bcz ndo umaona poa ila jua kipato chako kitakuwa limited bcz it is expense to me and i want to reduce my expense in order to earn super nomal profit.LAKINI ukitata kipato bila ukomo start your own business come to right side of quadrant(business owner and investors).Kuandamana eti mshahara hautoshi ni ujinga wakati unajua kabisa your salary is expense to me,eti kwa maandamano niongeze mshahara,siongezi wataaaa.
 
Tunawahitaji wote katika maendeleo,wote tuki jiliajili nani atamwajiri mwenzake,makampuni yanawahitaji wafanyakazi ili uchumi ukue sasa acheni wengine waajiliwe,ila mimi natakata kijiajiri na kuajili wengine kwa sababu nimechagua hivyo,so kama na wewe umechagua kuajiliwa fresh njoo nikuajili bcz ndo umaona poa ila jua kipato chako kitakuwa limited bcz it is expense to me and i want to reduce my expense in order to earn super nomal profit.LAKINI ukitata kipato bila ukomo start your own business come to right side of quadrant(business owner and investors).Kuandamana eti mshahara hautoshi ni ujinga wakati unajua kabisa your salary is expense to me,eti kwa maandamano niongeze mshahara,siongezi wataaaa.
 

Tafuta documentary ya " Freeway Rick Ross " A big time drug dealer in LA, Carlifonia, USA by Aljazeera. (achana na yule rapper)

Angalia vizuri na uielewe, jamaa alikua multi-million dollar drug trafficker aliyepiga hela nyingi sana in his time anaeleza umuhimu wa shule/elimu in the life of a business person, he was completely illiterate (didnt know how to read and write yet made millions in the drug trade).....shule ni muhimu ndugu. Issue is elimu na maarifa yako ya apply kwenye entrepreneurship/business ventures. Otherwise utapigwa chini na wanaokuzidi maarifa.

Wana muziki wakubwa wenyewe akina Dr. Dre, Timbaland na wengine wengi, waigizaji wenye production companies zenye mafanikio makubwa pia walirudi darasani ili wajue kutengeneza good music/videos sembuse ww. Angalia wanavyopiga hela. Unafkiri walianza tu out of nowhere ?? Nenda darasani fani na interests zako uzi run kisomi alaf tia juhudi na ubunifu. Uone kama huja tishia amani.

Hata kua mwizi mwenye kiwango unabidi uwe msomi pia....angalia yanayotendeka nchini. Masterminds wote ni wasomi wanatumiwa na mafisadi. Kwa sabab nchi imekaa ki hasara hasara watu wanajipakulia tu wanavyotaka.
 
Tunawahitaji wote katika maendeleo,wote tuki jiajiri nani atamwajiri mwenzake,makampuni yanawahitaji wafanyakazi ili uchumi ukue sasa acheni wengine waajiliwe,ila mimi nataka kijiajiri na kuajili wengine kwa sababu nimechagua hivyo,so kama na wewe umechagua kuajiliwa fresh njoo nikuajili bcz ndo umaona poa ila jua kipato chako kitakuwa limited bcz it is expense to me and i want to reduce my expense in order to earn super nomal profit.LAKINI ukitata kipato bila ukomo start your own business come to right side of quadrant(business owner and investors).Kuandamana eti mshahara hautoshi ni ujinga wakati unajua kabisa your salary is expense to me,eti kwa maandamano niongeze mshahara,siongezi wataaaa.
 
Matajiri nnao wajua ni akina bill get..baffet dangote wa africa, je na wewe ambaye hujasoma ni tajiri???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…