Wakasha fukunu
Member
- Feb 8, 2012
- 29
- 24
Mpenzi msomaji je ushawahi kukaa chini na kujiuliza ni ma Professor wangapi ma billionaire duniani? Au waalimu, ambao ndo wataalamu wa kufikiri inavyosadikika?
Hawa ndo chanzo cha umaskini..sina maana kwamba nawachukia au nawadharau la hasha ila ni kutokana na mifumo mibovu ya elimu iliyopo nao ndo wanaihubiri au kuisimamia.
Kivipi?
Mara nyingi tumesikia haya maneno. MWANANGU/MWANAFUNZI SOMA SANA PATA MAKSI ZA JUU ILI UJE KUPATA KAZI NZURI YENYE MSHAHARA MKUBWA.
Huu ni ujinga kwa sababu mtu akiajiriwa una kuwa na usalama wa kazi tuu lakini unakuwa hauna uhuru wa kiuchumi{financial freedom}.
Unapoajiriwa na kampuni unafanyia kazi watu wengi ambao mnagawana nao mshahara pasu kama hivi mshahara wako unakatwa haya kabla hujapokea;
- Kodi ya serikali
- Makato ya bima
- Makato ya benki
- Makato ya vyama vya wafanyakazi
Halafu ndo unapokea hela yako. Ndio maana tumesikia wafanyakazi wengi wakilia sana juu ya makato kuwa ni makubwa sana..
Baada ya hapo unakwenda nyumbani na hiyo hela ambapo zinakwenda katika vibobo vya kukutia umaskini ili urudi tena kazini ambavyo ni kodi ya nyumba, maji, umeme na ada za watoto na kama muflisi gari unanunua mafuta na kulipia kodi zake.
Huenda hujanipata vizuri sasa utanipata nachomaanisha.
Ni kuwa huyu mwajiriwa hana vitega uchumi miradi ambayo ingemuingizia pesa za kutosha maisha yake yote ndo maana baadhi ya waajiriwa wanapostaafu hufa ghafla kwa sababu ya ukata.
Embu tumuangalie mwekezaji. Wawekezaji wengi Mabilionea hawana degree, mfano;
- Bakhressa wa Azam
- Patrick Ngowi. Tajiri namba moja Tanzania
- Bill Gate wa Microsoft
- John D. Rockefela wa Standard Oil of America
- Mark wa Facebook
- Na wengine wengi, unaweza ni PM..
Ma investor wote unajua wanakatajwe kodi? Ni baada ya kutoa garama zote za uendeshaji na ile faida iliopatikana ndo inakatwa kodi.
Mpenzi msomaji, bwana HENRY FORD aliwahi kusema. "Thinking is the hardest work there is, that is why so few people engage in it".
Wapendwa wasomaji nimepata PM nyingi sana wakitaka vitabu vya Robert kiyosaki na nimewapatia in terms of softcopy na audio. Kama na wewe unataka, nijulishe nitakutumia kwa e-mail au basi au njia yoyote ile.
Nicheki weyosi@yahoo.com
Hawa ndo chanzo cha umaskini..sina maana kwamba nawachukia au nawadharau la hasha ila ni kutokana na mifumo mibovu ya elimu iliyopo nao ndo wanaihubiri au kuisimamia.
Kivipi?
Mara nyingi tumesikia haya maneno. MWANANGU/MWANAFUNZI SOMA SANA PATA MAKSI ZA JUU ILI UJE KUPATA KAZI NZURI YENYE MSHAHARA MKUBWA.
Huu ni ujinga kwa sababu mtu akiajiriwa una kuwa na usalama wa kazi tuu lakini unakuwa hauna uhuru wa kiuchumi{financial freedom}.
Unapoajiriwa na kampuni unafanyia kazi watu wengi ambao mnagawana nao mshahara pasu kama hivi mshahara wako unakatwa haya kabla hujapokea;
- Kodi ya serikali
- Makato ya bima
- Makato ya benki
- Makato ya vyama vya wafanyakazi
Halafu ndo unapokea hela yako. Ndio maana tumesikia wafanyakazi wengi wakilia sana juu ya makato kuwa ni makubwa sana..
Baada ya hapo unakwenda nyumbani na hiyo hela ambapo zinakwenda katika vibobo vya kukutia umaskini ili urudi tena kazini ambavyo ni kodi ya nyumba, maji, umeme na ada za watoto na kama muflisi gari unanunua mafuta na kulipia kodi zake.
Huenda hujanipata vizuri sasa utanipata nachomaanisha.
Ni kuwa huyu mwajiriwa hana vitega uchumi miradi ambayo ingemuingizia pesa za kutosha maisha yake yote ndo maana baadhi ya waajiriwa wanapostaafu hufa ghafla kwa sababu ya ukata.
Embu tumuangalie mwekezaji. Wawekezaji wengi Mabilionea hawana degree, mfano;
- Bakhressa wa Azam
- Patrick Ngowi. Tajiri namba moja Tanzania
- Bill Gate wa Microsoft
- John D. Rockefela wa Standard Oil of America
- Mark wa Facebook
- Na wengine wengi, unaweza ni PM..
Ma investor wote unajua wanakatajwe kodi? Ni baada ya kutoa garama zote za uendeshaji na ile faida iliopatikana ndo inakatwa kodi.
Mpenzi msomaji, bwana HENRY FORD aliwahi kusema. "Thinking is the hardest work there is, that is why so few people engage in it".
Wapendwa wasomaji nimepata PM nyingi sana wakitaka vitabu vya Robert kiyosaki na nimewapatia in terms of softcopy na audio. Kama na wewe unataka, nijulishe nitakutumia kwa e-mail au basi au njia yoyote ile.
Nicheki weyosi@yahoo.com