UKITAKA KWENDA MBALI, NENDA NA WENZAKO - MAHUSIANO YA DIPLOMASIA
Matokeo Chanya ya Ziara ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan yashusha neema kwa Watanzania leo tunashuhudia Ujumbe wa Wawekezaji zaidi ya 120 kutoka Nchini Misri hii imetokana na Ziara ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan mwezi Novemba, 2021 Nchini Misri.
Katika Ziara hiyo Mhe. Rais Samia alikutana nao na kufanya mazungumzo na kuwakaribisha kuja kuwekeza Nchini Tanzania.
Namna Pekee ya kupiga hatua ni kutumia DIPLOMASIA vema katika uhusiano na Taasisi na Nchi nyingine
Tangu aingie madarakani tayari Rais Samia Suluhu Hassan ameshafanya mikutano kwa njia ya mtandao na karibu viongozi wote wa taasisi za kimataifa kwenye maeneo ya Uchumi, uhusiano wa kimataifa na Fedha.
#MamaYukoKazini
#KaziIendelee
Matokeo Chanya ya Ziara ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan yashusha neema kwa Watanzania leo tunashuhudia Ujumbe wa Wawekezaji zaidi ya 120 kutoka Nchini Misri hii imetokana na Ziara ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan mwezi Novemba, 2021 Nchini Misri.
Katika Ziara hiyo Mhe. Rais Samia alikutana nao na kufanya mazungumzo na kuwakaribisha kuja kuwekeza Nchini Tanzania.
Namna Pekee ya kupiga hatua ni kutumia DIPLOMASIA vema katika uhusiano na Taasisi na Nchi nyingine
Tangu aingie madarakani tayari Rais Samia Suluhu Hassan ameshafanya mikutano kwa njia ya mtandao na karibu viongozi wote wa taasisi za kimataifa kwenye maeneo ya Uchumi, uhusiano wa kimataifa na Fedha.
#MamaYukoKazini
#KaziIendelee