Ukitaka matatizo maishani, gombea Urais

Ukitaka matatizo maishani, gombea Urais

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Nimefuatilia kwa karibu wanasiasa wanaijitosa kugombea urais.

Wengi wamejikuta kuingia matatixo mazito ya kimaisha, hasa wanaotoka vyama vyenye ushawishi kama CCM na CHADEMA.

Na hata wakiupata, bado wanakuwa na maisga ya ndege, kurukia tawi hili na lile, kujinusuru kiusalama.

Heri upambe tu, siku hizi ati uchawa!
Mwalimu Nyerere-kifo chake maneno matupu.

Ali H. Mwinyi-imebidi ajitie ujinga ili asisumbuliwe.

Benjamin Mkapa-aliondoka chap chap
Jakaya Mrisho Kikwete-ni mjanja na anaujua uwanja.

John Magufuli-kuondoka kwake maneno mengi.

Freman Mbowe-lupango kachezea sana hadi kesi ya uhaini.

Tundu Lissu- amekula risasi za kutosha.

Vile vile fuatilia waliowahi kugombea urais halafu tulete mrejesho.
 
Nimefuatilia kwa karibu wanasiasa wanaijitosa kugombea urais.

Wengi wamejikuta kuingia matatixo mazito ya kimaisha, hasa wanaotoka vyama vyenye ushawishi kama CCM na CHADEMA.

Na hata wakiupata, bado wanakuwa na maisga ya ndege, kurukia tawi hili na lile, kujinusuru kiusalama.

Heri upambe tu, siku hizi ati uchawa!
Mwalimu Nyerere-kifo chake maneno matupu.
Ali H. Mwinyi-imebidi ajitie ujinga ili asisumbuliwe.
Benjamin Mkapa-aliondoka chap chap
Jakaya Mrisho Kikwete-ni mjanja na anaujua uwanja.
John Magufuli-kuondoka kwake maneno mengi.
Freman Mbowe-lupango kachezea sana hadi kesi ya uhaini.
Tundu Lissu- amekula risasi za kutosha.

Vile vile fuatilia waliowahi kugimbea urais halafu tulete mrejesho.
Sema alie onjeshwa joto la jiwe ni papa lissu the don jamaa kuwa kwake hai ni muujiza

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Hao uliowataja walikuwa Marais tayari, waliogimbea ni
1. John Mrema Mzee wa Kiracharacha na mjumbe wa Bodi ya Paroli
2. Mzee wa vijisenti John Cheyo
3. Mzee wa Mabagachori Mtikila
4. Tundu Lisu
5. Mtu huru Freeman
6. Kigwanomics Kingwa
7. JM Makamba smart person |3rd runner]
8. Asha Rozi Migiro [2nd Runer]
9. Mwigulu mzee wa utaifa kwanza
10. B.M [anakadhiwa kwa wazee bado hajazikwa]
11. Mzee wa Mamvi [Elimu kwanza] Lowassa
12. Anna Mgirwa
13. Queen Chandiga
14. Mzee wa ubwabwa

Na wengine wengi, tu check justification ya hoja yako sasa
 
Bm, JK, JPM na Mama wote waliwahi kusikika wakilalamika kwa nyakati tofauti tofauti.
Baba yangu aliwahi kunikanya mara nyingi sana nisije nikajaribu kujihusisha na mambo ya siasa.
Au angalia hata hapa ndani jinsi watu wanavyo parurana kule kwenye jukwaa la siasa.
 
Ukitaka uwe na pesa nyingi na maisha yenye unafiki migogoro na uchawa ingia kwenye siasa
 
Shida kubwa ni kwamba siasa imegeuka kama fursa na sio kama kupata nafasi kuwatumikia wananchi bali uraji na kuunda makundi ya kutetea maslahi hata ukiwa nje ya mfumo.
 
Huu uzi ni mfupi lakini hakika umeshiba mno! Yaani upo kama kale kashairi ka 'Eat More' kanakosumbua kule o'level. Kwangu hii ni kweli tupu. Hata post #3 ilichofanya ni kuongeza mafuta tu kwenye moto maana wengi waliotajwa pale wamekiina cha moto;

Lowassa ametukanwa sanaa....
Kigangwala anatukanwa mpaka leo.....
Makamba anatukanwa kupitiliza hadi leo.......
Mwigulu hivyo hivyo........n.k
 
Nimefuatilia kwa karibu wanasiasa wanaijitosa kugombea urais.

Wengi wamejikuta kuingia matatixo mazito ya kimaisha, hasa wanaotoka vyama vyenye ushawishi kama CCM na CHADEMA.

Na hata wakiupata, bado wanakuwa na maisga ya ndege, kurukia tawi hili na lile, kujinusuru kiusalama.

Heri upambe tu, siku hizi ati uchawa!
Mwalimu Nyerere-kifo chake maneno matupu.

Ali H. Mwinyi-imebidi ajitie ujinga ili asisumbuliwe.

Benjamin Mkapa-aliondoka chap chap
Jakaya Mrisho Kikwete-ni mjanja na anaujua uwanja.

John Magufuli-kuondoka kwake maneno mengi.

Freman Mbowe-lupango kachezea sana hadi kesi ya uhaini.

Tundu Lissu- amekula risasi za kutosha.

Vile vile fuatilia waliowahi kugimbea urais halafu tulete mrejesho.
Yule mkulima sijui yupo hali gani!
 
Nimefuatilia kwa karibu wanasiasa wanaijitosa kugombea urais.

Wengi wamejikuta kuingia matatixo mazito ya kimaisha, hasa wanaotoka vyama vyenye ushawishi kama CCM na CHADEMA.

Na hata wakiupata, bado wanakuwa na maisga ya ndege, kurukia tawi hili na lile, kujinusuru kiusalama.

Heri upambe tu, siku hizi ati uchawa!
Mwalimu Nyerere-kifo chake maneno matupu.

Ali H. Mwinyi-imebidi ajitie ujinga ili asisumbuliwe.

Benjamin Mkapa-aliondoka chap chap
Jakaya Mrisho Kikwete-ni mjanja na anaujua uwanja.

John Magufuli-kuondoka kwake maneno mengi.

Freman Mbowe-lupango kachezea sana hadi kesi ya uhaini.

Tundu Lissu- amekula risasi za kutosha.

Vile vile fuatilia waliowahi kugimbea urais halafu tulete mrejesho.
JK ameshajaa. Subiria
 
Maisha ya mwanadamu ni mtihani.....

Matatizo hayawahi kutoweka kwa kila mwanadamu.....labda yanaweza yakazidiana tu kutokana na CHANGAMOTO......

Dunia ni uwanja wa fujo......


WE LIVE ONCE .....

#YetzerHatov
#DONOTDOHARM

#SiempreJMT[emoji120]
 
Yule mkulima wa dodoma sijui yupo au naye tulishamkosa? Mwenyewe yupo na update anipe
 
Siasa ni ugali, kila alieushika hayupo tayari kuona ukimegwa na mwingine. Pesa za wananchi tamu bhana, asikwambie mtu
 
Nimefuatilia kwa karibu wanasiasa wanaijitosa kugombea urais.

Wengi wamejikuta kuingia matatixo mazito ya kimaisha, hasa wanaotoka vyama vyenye ushawishi kama CCM na CHADEMA.

Na hata wakiupata, bado wanakuwa na maisga ya ndege, kurukia tawi hili na lile, kujinusuru kiusalama.

Heri upambe tu, siku hizi ati uchawa!
Mwalimu Nyerere-kifo chake maneno matupu.

Ali H. Mwinyi-imebidi ajitie ujinga ili asisumbuliwe.

Benjamin Mkapa-aliondoka chap chap
Jakaya Mrisho Kikwete-ni mjanja na anaujua uwanja.

John Magufuli-kuondoka kwake maneno mengi.

Freman Mbowe-lupango kachezea sana hadi kesi ya uhaini.

Tundu Lissu- amekula risasi za kutosha.

Vile vile fuatilia waliowahi kugimbea urais halafu tulete mrejesho.
Lyatonga alilogwa sijui. Dish liliyumba toka ile 1995.

Mama Anna Muingira wa ACT, Mziray wa TPP Maendeleo na Profesa Shayo nao walifariki kimasihara

Lipumba, Slaa, Cheyo aka Bwana Mapesa na Mzee Rungwe aka Mzee wa Ubwabwa wote hawako vizuri tena upstair kuna nut zimelegea
 
Lyatonga alilogwa sijui. Dish liliyumba toka ile 1995.

Mama Anna Muingira wa ACT, Mziray wa TPP Maendeleo na Profesa Shayo nao walifariki kimasihara

Lipumba, Slaa, Cheyo aka Bwana Mapesa na Mzee Rungwe aka Mzee wa Ubwabwa wote hawako vizuri tena upstair kuna nut zimelegea
Lowassa pia
 
Hao uliowataja walikuwa Marais tayari, waliogimbea ni
1. John Mrema Mzee wa Kiracharacha na mjumbe wa Bodi ya Paroli
2. Mzee wa vijisenti John Cheyo
3. Mzee wa Mabagachori Mtikila
4. Tundu Lisu
5. Mtu huru Freeman
6. Kigwanomics Kingwa
7. JM Makamba smart person |3rd runner]
8. Asha Rozi Migiro [2nd Runer]
9. Mwigulu mzee wa utaifa kwanza
10. B.M [anakadhiwa kwa wazee bado hajazikwa]
11. Mzee wa Mamvi [Elimu kwanza] Lowassa
12. Anna Mgirwa
13. Queen Chandiga
14. Mzee wa ubwabwa

Na wengine wengi, tu check justification ya hoja yako sasa
Hapo umemwacha Mwandosya aliyekoswakoswa na sumu.
 
Back
Top Bottom