Ukitaka Mdahalo wa Wagombea wa Chadema wasiliana na Ofisi ya Katibu Mkuu

Ukitaka Mdahalo wa Wagombea wa Chadema wasiliana na Ofisi ya Katibu Mkuu

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Ikiwa ni Chombo cha Habari cha Kimataifa au cha Tanzania, au hata kama wewe ni mtu Binafsi, ukitaka Mdahalo na Wagombea wa Chadema kuelekea uchaguzi wao wa ndani, basi wala si kazi ngumu, Nenda kwenye ofisi ya Katibu Mkuu wa Chama hicho iliyopo Mikocheni Dar es Salaam utasikilizwa.

Haya yamesemwa leo na Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika alipoongea na wanahabari.

Screenshot_2025-01-07-15-03-54-1.png


Taasisi hii ya Chadema inao utaratibu wa kufuatwa ili kuwapata wagombea wake na kuwaandalia Mdahalo. Hukurupuki Tuu
 
Mbowe hawezi kuthubutu,kwanza ni mweupe kichwani huku mwenzie ni msema chochote mwenye uzoefu wa kulumbana mahakamani.
 
Back
Top Bottom