4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Nataka mdahalo na Yeriko Yerere na Ntobi, ili ni wafundishe utu na siasa bora
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao nyumbu ni vilaza wa mwishoNataka mdahalo na Yeriko Yerere na Ntobi, ili ni wafundishe utu na siasa bora
Unaweza thibitisha hili ?Lissu hawezi kuhimili midahalo yenye mantiki. Yeye no mwanaharakati wa kuendesha lawama hata za uwongo.
Hawajielewi hasa uyu ,Ntobi, anayejikuta kwamba ni level ya lissu kwa mshambulia kwa manenoHao nyumbu ni vilaza wa mwisho
Nashangaa ntobi eti kawa mtu wa maana leo🤔 huyu mjinga namjua hata akili ya kutafuta pesa nnje ya chama hana,.Hawajielewi hasa uyu ,Ntobi, anayejikuta kwamba ni level ya lissu kwa mshambulia kwa maneno
Lissu huyu huyu aliyekua anawapelekea moto kuanzia bungeni mpaka mtaani mpaka mkamkodishia wauuaji bado wakamshindwa?Lissu hawezi kuhimili midahalo yenye mantiki. Yeye no mwanaharakati wa kuendesha lawama hata za uwongo.
Haya 😂Mahojiano ya mtu mmoja mmoja siyo mdahalo huo
Hii imenishitua hata mimiKumbe ndani ya chadema napo kuna watu wanaogopa midahalo
Umeanza dhihaka....Na Juu ya Mwamba huu nitalijenga Kanisa langu 😄😄
Hii ilikuwa kabla Petro hajamkana MwokoziUmeanza dhihaka....
John huko nitakutoa knockout ....Hii ilikuwa kabla Petro hajamkana Mwokozi
Sidhani kama unaelewa 😂
Uandishi wako ni wa kijinga sana: Unajadili na mimi halafu unaniambia “Mkamkodishia?” Hiyo ndiyo tabia ya Lissu pia ya kura ka mambo a siyo kuwa na uhakika nayo. Tungekuea uraiani ningekufunglia mashtaka uithibitishie mahakama kuwa una ushahidi kuonyesha kuwa mimi nilishiriki nilimkodishia wauaji, na ulete ushahidi wa wauaji waliokodishwaLissu huyu huyu aliyekua anawapelekea moto kuanzia bungeni mpaka mtaani mpaka mkamkodishia wauuaji bado wakamshindwa?
Ndiyo. Lissu anajua sana malumbano kama Ali up kuwa and any bungeni; hajui mdahalo wakujadili mada na kutoa mawazo mbadalaUnaweza thibitisha hili ?
AIBU GANI, WALIONGEA VEMA TU...KWA VILE UKO BIASED HUWEZI KUONA HILOIle AIBU ya Ntobi na Yeriko Nyerere ndio imemtoa usingizini J J Mnyika kule Msimbazi center 😂
of what use mdahalo?Hapana mkuu, ni mbowe tu ndiye anayetusumbua ila wengine wote wako tayari kwa mdahalo!.
Ndiyo. Lissu anajua sana malumbano kama Ali up kuwa and any bungeni; hajui mdahalo wakujadili mada na kutoa mawazo mbadala
Kwanini kila unapomuingelea Lissu unaishia kutetemeka kwa hofu na kuishia kutoeleweka ulichokiandika?Uandishi wako ni wa kijinga sana: Unajadili na mimi halafu unaniambia “Mkamkodishia?” Hiyo ndiyo tabia ya Lissu pia ya kura ka mambo a siyo kuwa na uhakika nayo. Tungekuea uraiani ningekufunglia mashtaka uithibitishie mahakama kuwa una ushahidi kuonyesha kuwa mimi nilishiriki nilimkodishia wauaji, na ulete ushahidi wa wauaji waliokodishwa
Kutonielewa ninachoandika ni tatizo lako. Kusoma maandishi hakuna maana ya kuyalewa.Kwanini kila unapomuingelea Lissu unaishia kutetemeka kwa hofu na kuishia kutoeleweka ulichokiandika?