Ukitaka Mdahalo wa Wagombea wa Chadema wasiliana na Ofisi ya Katibu Mkuu

Ukitaka Mdahalo wa Wagombea wa Chadema wasiliana na Ofisi ya Katibu Mkuu

ukitaka Mdahalo na Wagombea wa Chadema kuelekea uchaguzi wao wa ndani, basi wala si kazi ngumu, Nenda kwenye ofisi ya Katibu Mkuu wa Chama hicho iliyopo Mikocheni Dar es Salaam utasikilizwa.
Mwenyekiti analindwa kwa wivu mkubwa. Mdahalo wa Sugu vs Msigwa ulifuata taratibu hizo??
 
Hapana mkuu, ni mbowe tu ndiye anayetusumbua ila wengine wote wako tayari kwa mdahalo!.
Umeulizwa hapo juu. Lini umeandaa mdahalo Mbowe akakataa? Au mnasubiri uandaliwe na wengine? Kama unamtaka mdahalo, peleka maombi katika ofisi ya Katibu Mkuu, ukapewa ratiba za chama ili visigongane na vikao, andaa hela za ukumbi na allowance, na kisha waite wagombea 300
 
Back
Top Bottom