Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tunakushukuru kwa PichaLisu wapelekee moto babaView attachment 3195022
Karibu ofisi ya Katibu MkuuMbowe lazima alale mbele.
Akina nani?Kumbe ndani ya chadema napo kuna watu wanaogopa midahalo
Nashukuru pia mkuu ila lissu ni wa kwetu sisi chadema damu 😛Tunakushukuru kwa Picha
Ile AIBU ya Ntobi na Yeriko Nyerere ndio imemtoa usingizini J J Mnyika kule Msimbazi center 😂Karibu ofisi ya Katibu Mkuu
Karibu ofisi ya Katibu Mkuu utuandalie MdahaloNashukuru pia mkuu ila lissu ni wa kwetu sisi chadema damu 😛
Karibu ofisi ya Katibu Mkuu utuandalie Mdahalo
Tangazo hili linahusu Wagombea tu, siyo wapambeIle AIBU ya Ntobi na Yeriko Nyerere ndio imemtoa usingizini J J Mnyika kule Msimbazi center 😂
Hapana mkuu, ni mbowe tu ndiye anayetusumbua ila wengine wote wako tayari kwa mdahalo!.Kumbe ndani ya chadema napo kuna watu wanaogopa midahalo
Hawa wanaoenda Kwa Kikeke?Tangazo hili linahusu Wagombea tu, siyo wapambe
Ni wapi Mbowe amekacha mdahalo?Hapana mkuu, ni mbowe tu ndiye anayetusumbua ila wengine wote wako tayari kwa mdahalo!.
Mahojiano ya mtu mmoja mmoja siyo mdahalo huoHawa wanaoenda Kwa Kikeke?
Mkuu umeona hiyo link?Mahojiano ya mtu mmoja mmoja siyo mdahalo huo