Ukitaka ufanikiwe kwa Jambo lolote, tumia Kanuni ya Kushambulia Sana kuliko kuzuia Sana/kupaki Basi

Ukitaka ufanikiwe kwa Jambo lolote, tumia Kanuni ya Kushambulia Sana kuliko kuzuia Sana/kupaki Basi

kuna watu jana wamepaki bus na wamepita
wengine wa gusa achia twende kwao wamerudi kwao

ukatili ni mwingi sana
 
Katika kushambulia pia ukumbuke kutumia silaha/zana sahihi kutumia zana zisizofaa huenda kukakuchelewesha au kukakurudisha nyuma kabisa hivyo kumpa adui nafasi
...
Taikon mkuu hakika umeongeza jambo jipya kwenye intelligence yetu vijana shukrani MUNGU akubariki
 
Japo maisha banah yanamatokeo ya ajabu Sanaa..
Ila Leo umeandika kiukubwa Sanaa.
 
Katika kushambulia pia ukumbuke kutumia silaha/zana sahihi kutumia zana zisizofaa huenda kukakuchelewesha au kukakurudisha nyuma kabisa hivyo kumpa adui nafasi
...
Taikon mkuu hakika umeongeza jambo jipya kwenye intelligence yetu vijana shukrani MUNGU akubariki

Barikiwa Sana Mkuu
 
Back
Top Bottom