mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
ila maisha bwana,
watu tunatakiwa tujiambie maneno matamu kama haya wakati tunajua kabisa hakuna uhakika wa mafanikio
nimegundua binadamu hatuwezi kuishi bila kujidanganya yaani.
utunzi mahari lakini.
watu tunatakiwa tujiambie maneno matamu kama haya wakati tunajua kabisa hakuna uhakika wa mafanikio
nimegundua binadamu hatuwezi kuishi bila kujidanganya yaani.
utunzi mahari lakini.