Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyuma havijakaza,waache raia waenjoy!Watanzania mambo ya msingi hawayapi kipaumbele ila mambo ya ujinga ndio wanayapa chapuo.
Watanzania mambo ya msingi hawayapi kipaumbele ila mambo ya ujinga ndio wanayapa chapuo.
Kama kina Mandoga na piere liquid na 900 itapendeza walichukua sura ya nchi why not kwa timu kubwa kama hizo?
ila nadhani michezo inafuatiliwa zaidi dunia nzima, sio tz tuKama kina Mandoga na piere liquid na 900 itapendeza walichukua sura ya nchi why not kwa timu kubwa kama hizo?
Yeah , Spain ,England , Germany kwenye football huwaambii kitu ila sio kwa namna hii ya washabiki wa simba na yanga.ila nadhani michezo inafuatiliwa zaidi dunia nzima, sio tz tu
Ikivuja connection ndo utaona wa bongo ni wafatiliaji wa mambo yanayoendelea nchini kwaoKama kina Mandoga na piere liquid na 900 itapendeza walichukua sura ya nchi why not kwa timu kubwa kama hizo?
We ndio mpumbavu kufuatilia mambo ya watu. Mambo gani ya msingi unafanya wewe? Bwege tu, fanya mambo yako hakuna unaweza kumlisha we maskiniWatanzania mambo ya msingi hawayapi kipaumbele ila mambo ya ujinga ndio wanayapa chapuo.
We kenge usiwachagulie wenzio cha kufanya. Kupanga ni kuchagua we jipangie ya kwako ghadabu za nini kwa yasiyokuhusu?Akitekwa mtu hawajishuhulishi ccm ikifanya madudu wapo kimya ila uje mpira sasa ndio utawajua ni wajinga kiasi Gani.
Sasa kwani simba na azam sio mambo ya msingi?Watanzania mambo ya msingi hawayapi kipaumbele ila mambo ya ujinga ndio wanayapa chapuo.
Kutekwa mtu ni jambo la karaha halipaswi kutangazwa hovyoAkitekwa mtu hawajishuhulishi ccm ikifanya madudu wapo kimya ila uje mpira sasa ndio utawajua ni wajinga kiasi Gani.