matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Wakuu mtaani ukitaka ulete taaruki, ficha vyanzo vyako vya mapato ila onyesha tu matumizi ya kipato chako.
Hapo utagundua mtaani au ukoo wote ni wapelelezi wa kujitolea. Wakipeleleza wakashindwa...
Utaitwa
~ Freemason
~TISS
~Tapeli
~Mchawi
~Jambazi
~Muuza madawa ya kulevya
~Akiugua au akifa mtu tu, utasingiziwa ndio source yako ya income
~Fisadi
FAIDA: Hii itakupunguzia kusongwa na mafuriko ya watu ili upate muda wa kutengeneza financial base yako vizuri.
MAMBO MATATU HAYA UKIYAWEKA PRIVATE YATAKUSAIDIA KUFANIKIWA KWA WEPESI.
1: Maisha yako yakifedha na vyanzo vyako. (YOUR FINANCIAL LIFE)
2: Maisha yako ya mahusiano/Mapenzi.
3: Your Next step ( Hatua unayotaka kuchukua).
Usiwaambie watu unayaka kufanya nini. Maneno ni uchawi, huwa yanatabia yakublock. Waonyeshe ulichokifanya.
Ni hayo tu, wakuu.
Hapo utagundua mtaani au ukoo wote ni wapelelezi wa kujitolea. Wakipeleleza wakashindwa...
Utaitwa
~ Freemason
~TISS
~Tapeli
~Mchawi
~Jambazi
~Muuza madawa ya kulevya
~Akiugua au akifa mtu tu, utasingiziwa ndio source yako ya income
~Fisadi
FAIDA: Hii itakupunguzia kusongwa na mafuriko ya watu ili upate muda wa kutengeneza financial base yako vizuri.
MAMBO MATATU HAYA UKIYAWEKA PRIVATE YATAKUSAIDIA KUFANIKIWA KWA WEPESI.
1: Maisha yako yakifedha na vyanzo vyako. (YOUR FINANCIAL LIFE)
2: Maisha yako ya mahusiano/Mapenzi.
3: Your Next step ( Hatua unayotaka kuchukua).
Usiwaambie watu unayaka kufanya nini. Maneno ni uchawi, huwa yanatabia yakublock. Waonyeshe ulichokifanya.
Ni hayo tu, wakuu.