Ukitaka usiugue kila wakati, tumia njia hii

Ukitaka usiugue kila wakati, tumia njia hii

Ha ha ha! Mkuu, naposema Edeni products namaanisha mfumo wa ulaji wa kwanza kwa mwanadamu ulioletwa na Mungu kule Edeni. Chakula kikuu kilikuwa fruits & vegetables.

Ukisoma biblia kitabu cha Ezekieli, Mungu aliwaambia wanadamu, "Fruits will be for food & their leaves for medicine." Ukitaka andiko nitakupa.
alikuwa hajaelewa2 mpendwa,...
hope ameshaelewa
 
Hivi izo lita 3 za maji ya uvuguvugu unakunywa kwa mara moja au kwa interval flani ivi coz 3 litres ni nyingi mnoo
Lita 3 za maji unakunyw akwa siku nzima Asubuhi unaweza kunywa glasi 3 saa 4 asubuhi ukanywa tena glasi 2 mcha ukanywa tena glasi2 jioni ukanywa tena glasi 2 usiku ukanywa tena glasi zako 2 na wakati wakulala ukanywa glasi 1 inatosha
 
Mm naomba kukuuliza dokta je siwez tafuna hvyo vitunguu jioni badala ya asbh???
 
Huwa natumia tu vitunguu swaumu, ngoja niongeze na hivyo
 
Mzizimkavu,samahani Nina swali ,km una ufaham juu LA hili,jicho langu LA kulia upande wa juu hucheza sana takribani 3weeks,nini tatizo?
Utateuliwa kuwa mkuu wa wilaya
 
VITUNGUU SWAUM PUNJE TANO HALAFU BAADA YA DAKIKA KUMI MAJI LITA MOJA MAGONJWA MADOGOMADOGO UTAYASAHAU.
 
Mzizi mkavu kuna dawa au vyakula vya kuzuia kukojoa kila mara hasa nyakati za usikuu?
 
Mzizi mkavu kuna dawa au vyakula vya kuzuia kukojoa kila mara hasa nyakati za usikuu?
Chmesha karafuu za kiasi tu kwenye maji kishakunywa itakusaidia kupunguza mkojo nyakati za usiku na wakati wa kwenda kulala hakikisha unakojoa kisha unalala, usilale pasipo na kukojoa mkojo.
 
Back
Top Bottom