Ukitaka usiugue kila wakati, tumia njia hii

Dr Mimi Nina ndugu yangu ana matatizo ya pressure imeanza hivi karibuni ila inampa shida sana nifanyeje? Naomba msaada wako
 
Dr huwa unajichanganya kuna makala yako nimesoma unasema maziwa hayafai kiafya
 
Sasa kila kitu kati ya hivyo ule kila siku kweli ? Yaani apple, maji ya limao, kitunguu swaumu, maziwa, maji glass 3..........
 
Mkuu zote unapiga asubuhi lemon, aple na maji?

Pia maziwa Dr Sebi kakataza rejea makala yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…