Habar wadau!!!
Mapenzi ni kitu cha ajabu sana hii inadhihirika hata kwenye vitabu vya dini SAMSON alikuwa na uwezo wa kutandika askar 3000 na akapigwa KO na delila ebu waza hili samson aliulizwa mara nying sana siri ya nguvu zake akusema ila kwa delila alisema yote shida ipo wapi shida ni kwamba samson kwa mda ule alikuwa kimapenzi na delila tu angekuwa na wanawake wengine asingekubali
Kuna dada mmoja aliwah niambia sisi wanawake ili tuwe na akili lazima tuwe wawili nilishtuka kidogo mzee wetu MWINYI alipoulizwa siri ya kuish miaka mingi alisema ni kuoa wake wawili iko hv inasemekana kuwa WOMEN LOBE inapunguza hasira za mwanaume kwa 60 percent mke A akikuuzi we ingia chumba B kwa mke B hasira zote zitaisha huko
Mapenzi ni kitu cha ajabu sana hii inadhihirika hata kwenye vitabu vya dini SAMSON alikuwa na uwezo wa kutandika askar 3000 na akapigwa KO na delila ebu waza hili samson aliulizwa mara nying sana siri ya nguvu zake akusema ila kwa delila alisema yote shida ipo wapi shida ni kwamba samson kwa mda ule alikuwa kimapenzi na delila tu angekuwa na wanawake wengine asingekubali
Kuna dada mmoja aliwah niambia sisi wanawake ili tuwe na akili lazima tuwe wawili nilishtuka kidogo mzee wetu MWINYI alipoulizwa siri ya kuish miaka mingi alisema ni kuoa wake wawili iko hv inasemekana kuwa WOMEN LOBE inapunguza hasira za mwanaume kwa 60 percent mke A akikuuzi we ingia chumba B kwa mke B hasira zote zitaisha huko