Wafanyabiasha ni watu mhumu katika kukuza uchumi wa taifa .lakini pia ni watu hatari wakitaka kukuhujumu kama hutawasikikiza ,kuwashirikisha mipango ya maendeleo .mfano kama Kuna matajiri Wana basi Yao harafu wewe unataka kujenga reli lazima watapambana na wewe kuona hufanikiwi kiurahisi.
Najiulize Kwa Nini kama unataka kujenga reli Kwa Nini usitangaze ubia kati ya wewe na matajiri wa kizalendo? Kama unajenga bandari Kwa Nini usitangaze ubia kati ya wewe na matajiri Wakitanzaia wazalendo? Kama unataka umeme wa uhakika kwanini usitangaze ubia kati ya wewe na matajiri Wakitanzaia wa kizalendo?
Je Kuna jambo baya Serikali ikishirikiana na matajiri wazalendo ?
Najiulize Kwa Nini kama unataka kujenga reli Kwa Nini usitangaze ubia kati ya wewe na matajiri wa kizalendo? Kama unajenga bandari Kwa Nini usitangaze ubia kati ya wewe na matajiri Wakitanzaia wazalendo? Kama unataka umeme wa uhakika kwanini usitangaze ubia kati ya wewe na matajiri Wakitanzaia wa kizalendo?
Je Kuna jambo baya Serikali ikishirikiana na matajiri wazalendo ?