Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo zinakula koo zile zile miaka yote tangu tupate uhuruHakuna asiyetaka kula sema kuzidiana tu mkuu
Yeah,Kwa sababu tuna shukrani Kwa hii amani.Mungu aendelee kutulinda watanzania
Hakuna lolote nakwambia jamaa wanatafuna nchi vizuri snSema kibaya ndo hicho,kuwekana wao wenyewe.....lakini mabadiliko yatakuwepo....Kwa hii demokrasia
Mungu ambariki sana Rais SamiaSiyo Kwa sababu ni mwanamke mwenzangu, hapana ni Kwa sababu ni mama na ni kiongozi anaewakilisha vyema maana ya utawala wa demokrasia.
Mtaongea vibaya juu yake, yeye kimya na kupiga Kazi, mtamdharau Kwa uanawake wake yeye kimya na kuendelea kupiga Kazi.
Tukienda mbele na kurudi nyuma hakuna uongozi ambao hatukuulalamikia, hivyo naona ni kawaida ya mwanadamu haridhiki.
Ni sawa na baba ndani unawajibika bado mke haoni, unawajibika bado watoto wanasema nani kama mama. Kama baba Bora unaamua kupiga kimya ukiendelea kuwajibika maana hao ni wako utamtupia nani, ukiwa na mihemko ni Lazima utakimbia familia au kufukuza familia.
Najua Kazi ni ngumu sana ila Mungu aendelee kukutia nguvu mama.🙏
dikteta jiwe ndo alikuwa na chawa wengiSiku hizi chawa wengi sana
dikteta jay4 ndo alikuwa na chawa wengi
jiwe yeye ilikuwa ukimkosoa anakuua,mama yeye hana tabuNi kweli hakuna utawala ambao haukosolewi na kwa kuzingatia hilo.
Ataendelea kukosolewa tu pale anapochemka.
Kama anavyomchana mtangulizi wake na sisi tutampa za uso.
Mnatakiwa mpone nyie kwanza, hamna mtu anaanzishaga nyuzi ya kumpondea samia. Ila wanaomkandia marehemu ni almost kila siku hakukosekani nyuzi tatu.Mungu awaponye,maana Kila jambo na wakati wake