Ukitawaliwa na mihemko katika utawala huwezi kufanya kazi yako vizuri

Ukitawaliwa na mihemko katika utawala huwezi kufanya kazi yako vizuri

Unamlinganisha na nani sasa?

Asali zinalambwa kama kawaida hadi tunakosa maji na umeme.
 
Siyo Kwa sababu ni mwanamke mwenzangu, hapana ni Kwa sababu ni mama na ni kiongozi anaewakilisha vyema maana ya utawala wa demokrasia.

Mtaongea vibaya juu yake, yeye kimya na kupiga Kazi, mtamdharau Kwa uanawake wake yeye kimya na kuendelea kupiga Kazi.

Tukienda mbele na kurudi nyuma hakuna uongozi ambao hatukuulalamikia, hivyo naona ni kawaida ya mwanadamu haridhiki.

Ni sawa na baba ndani unawajibika bado mke haoni, unawajibika bado watoto wanasema nani kama mama. Kama baba Bora unaamua kupiga kimya ukiendelea kuwajibika maana hao ni wako utamtupia nani, ukiwa na mihemko ni Lazima utakimbia familia au kufukuza familia.

Najua Kazi ni ngumu sana ila Mungu aendelee kukutia nguvu mama.🙏
Mungu ambariki sana Rais Samia
 
Ni kweli hakuna utawala ambao haukosolewi na kwa kuzingatia hilo.

Ataendelea kukosolewa tu pale anapochemka.

Kama anavyomchana mtangulizi wake na sisi tutampa za uso.
Yeah,nae ashaona kawaida mambo haya
 
Back
Top Bottom