Jisemee mwenyewe huyo kila mtu ndo nani funza wwWafuasi wa mwendazake wamefura kwa hasira balaa wakiona Samia anaendesha nchi smoothly na kukubalika na kila mtu
Hapa ndipo ulipo utofauti kati ya mwanamke na mwanaume, fikra dhaifu zimejaa vichwani mwa wanawake.Siyo Kwa sababu ni mwanamke mwenzangu, hapana ni Kwa sababu ni mama na ni kiongozi anaewakilisha vyema maana ya utawala wa demokrasia.
Mtaongea vibaya juu yake, yeye kimya na kupiga Kazi, mtamdharau Kwa uanawake wake yeye kimya na kuendelea kupiga Kazi.
Jipige risasi ukazikwe Chato
Unaongozwa na mwanamke na utaendelea kuongozwa na mwanamke hadi 2030 utake ama usitakeHapa ndipo ulipo utofauti kati ya mwanamke na mwanaume, fikra dhaifu zimejaa vichwani mwa wanawake.
Siyo Kwa sababu ni mwanamke mwenzangu, hapana ni Kwa sababu ni mama na ni kiongozi anaewakilisha vyema maana ya utawala wa demokrasia.
Mtaongea vibaya juu yake, yeye kimya na kupiga Kazi, mtamdharau Kwa uanawake wake yeye kimya na kuendelea kupiga Kazi.
Tukienda mbele na kurudi nyuma hakuna uongozi ambao hatukuulalamikia, hivyo naona ni kawaida ya mwanadamu haridhiki.
Ni sawa na baba ndani unawajibika bado mke haoni, unawajibika bado watoto wanasema nani kama mama. Kama baba Bora unaamua kupiga kimya ukiendelea kuwajibika maana hao ni wako utamtupia nani, ukiwa na mihemko ni Lazima utakimbia familia au kufukuza familia.
Najua Kazi ni ngumu sana ila Mungu aendelee kukutia nguvu mama.π
Andiko lina zungumzia matumizi ya mihemko kuwa ni mabaya nawe una yaonesha hapa.Unaongozwa na mwanamke na utaendelea kuongozwa na mwanamke hadi 2030 utake ama usitake
Acheni kuwa na fikra dhaifu za kijinsia wanaume hatuna muda wa kutumia fikra dhaifu kama hizi " uanamke "Vizuri..afu hawakukutupa,walikulea bila kufikiria shida zote watakazopitia.π
Hamna mhemko hapo, ni uhalisia kuwa unaongozwa na mwanamke sasa hiviAndiko lina zungumzia matumizi ya mihemko kuwa ni mabaya nawe una yaonesha hapa.
Umesoma na kuelewa nilicho andika nime quote wapi ?
Sawa, ila jitahidi kusoma uelewe kwanza ndio uandike.Hamna mhemko hapo, ni uhalisia kuwa unaongozwa na mwanamke sasa hivi
mungu gani? Huyuhuyu ambao wenzio wanamuomba muda muafaka ufike watoe huyo bibi hapo waweke Rais wa kweli?Siyo Kwa sababu ni mwanamke mwenzangu, hapana ni Kwa sababu ni mama na ni kiongozi anaewakilisha vyema maana ya utawala wa demokrasia.
Mtaongea vibaya juu yake, yeye kimya na kupiga Kazi, mtamdharau Kwa uanawake wake yeye kimya na kuendelea kupiga Kazi.
Tukienda mbele na kurudi nyuma hakuna uongozi ambao hatukuulalamikia, hivyo naona ni kawaida ya mwanadamu haridhiki.
Ni sawa na baba ndani unawajibika bado mke haoni, unawajibika bado watoto wanasema nani kama mama. Kama baba Bora unaamua kupiga kimya ukiendelea kuwajibika maana hao ni wako utamtupia nani, ukiwa na mihemko ni Lazima utakimbia familia au kufukuza familia.
Najua Kazi ni ngumu sana ila Mungu aendelee kukutia nguvu mama.π