Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,809
- 1,692
Ukiona hivyo kapwaya, au kashindwa ku deliver sasa anatafutiwa sehemu ajifiche naye ale, maana ni ndugu ya wateule.Jokate kahamishwa sijui mara ngapi hadi namwonea huruma.
Kesho yuko korogwe,mala kisarawe mala sijui wapi,mala kwa wamama mala uvccm.
Sasa nashindwa hata kuelewa anafanya kazi saa ngapi?
Wamwache atulie kidogo basi.
Vp kimewaka huko au
Kama WASIRRA NA KIGWANGALANjaa haina shujaa. Wakiwa madarakani wanatuhimiza tujiajiri, wakikatwa wanalia utadhani wamefiwa au kuumizwa kimwili.
💰 vs 💵Unapotenguliwa fahamu kuwa ni muda uliotimia wewe kuwa mtumishi.
- Fikiri mengi lakini zungumza machache,
- Sikiliza wengi lakini jibu wachache,
- Andika mengi lakini ya ibada na shukurani,
Vipi Mkubwa Nini kimekusibu!
- Wakulima jua likiwa jingi Julia,
- Wafanyabiashara - magari huanguka, maduka huwaka Moto, meli huzama nk
Kwa maana nyingine ni kuwa changamoto zipo kila sekta.
Kuna Mbu Nge kule Nzega apate ujumbe huuUnapotenguliwa fahamu kuwa ni muda uliotimia wewe kuwa mtumishi.
- Fikiri mengi lakini zungumza machache,
- Sikiliza wengi lakini jibu wachache,
- Andika mengi lakini ya ibada na shukurani,
Unapotenguliwa fahamu kuwa ni muda uliotimia wewe kuwa mtumishi.
- Fikiri mengi lakini zungumza machache,
- Sikiliza wengi lakini jibu wachache,
- Andika mengi lakini ya ibada na shukurani,
Sijawahigi!!Tulia DED
AmesikiaKuna Mbu Nge kule Nzega apate ujumbe huu
Nachukia tu watu wakitumbuliwa au kutenguliwa hubadilika kuwa swiraVipi Mkubwa Nini kimekusibu!
Upo Halmasauri gani Mkuu ntafate kisafari nije kukuona!Nachukia tu watu wakitumbuliwa au kutenguliwa hubadilika kuwa swira