Ukitizama hizi picha ndio utagundua ujinga Tanzania bado ni janga kubwa sana, tunahitaji kufanya kitu

Ukitizama hizi picha ndio utagundua ujinga Tanzania bado ni janga kubwa sana, tunahitaji kufanya kitu

Ndio kama post moja ya jamiiforum walikua wanasema taarifa flani sio ya kweli. Hizo comments za watu sasa huko instagram. Ilionesha ni jinsi gani asilimia kubwa ya wabongo sio wafuatiliaji wa mambo na hatuna muda wa kusoma caption.
Yeah ni kweli Mkuu na inawezekana ww pia umoo Kat ya hao
 
Ni ukweli usiopingika mleta mada. Ujinga bado upo. Na bahati mbaya, unaweza kuta wengi wao hapo wamemaliza form 4, form six au hadi vyuo vikuu ila uwezo wa kutambua mambo ni mdogo.

Mfano mwingine mdogo ni namna watu wanavyotapeliwa mitandaoni inaonesha dhahiri uwezo wetu/wa watu wetu bado ni mdogo kwenye kufikiri na kutambua mambo yanavyokwenda.

Na hii inaelezea kwanini kuna maeneo bado hayajaendelea lakini wawakilishi wao wanaenjoy kabisa wakati, kwa mtizamo wangu, ilibidi maeneo yaliyo nyuma kimaendeleo wawakilishi wao wawe wanabanwa sana kupambania watu wao.​
 
Ni ukweli usiopingika mleta mada. Ujinga bado upo. Na bahati mbaya, unaweza kuta wengi wao hapo wamemaliza form 4, form six au hadi vyuo vikuu ila uwezo wa kutambua mambo ni mdogo.

Mfano mwingine mdogo ni namna watu wanavyotapeliwa mitandaoni inaonesha dhahiri uwezo wetu/wa watu wetu bado ni mdogo kwenye kufikiri na kutambua mambo yanavyokwenda.

Na hii inaelezea kwanini kuna maeneo bado hayajaendelea lakini wawakilishi wao wanaenjoy kabisa wakati, kwa mtizamo wangu, ilibidi maeneo yaliyo nyuma kimaendeleo wawakilishi wao wawe wanabanwa sana kupambania watu wao.​
Kutapeliwa watu huko mtandaoni umeongea kitu mkuu..

Ila hiyo mada ya hapo juu kusema hao ni wajinga unafeli
 
1. Waumini wa Mwamposa, kiboko ya wachawi, zumaridi, pastor tony kapola, lusekelo, geor davie na matapeli wengine kwenye dini.
2. Wote wanaojiunga na pyramid schemes kama forever living, Qnet, na zingine.
3. Wafuasi wa Mbowe.
4. Mashabiki wa muziki wa Singeli.
5. Waliojenga na wanaojenga mabondeni kwenye njia za maji.
 
Hizi Taasisi ziwe zinapewa Bajeti ya kujitangaza kwenye Mabango TV na Redioni na Mitandaoni ili Wananchi wapate Info.
 
Ila nao wanazingua...ilishindikana nini kufafuta abbreviations mbili tofaut?hawajui akili za wabongo zilivyo hazitaki kujisumbua?
 
watanzania baada yakuona logo ya NIDA wakaanza kukoment kama ifuatavyo,

hapa ndio nimegundua mtaji wa CCM ni mkubwa sana nchi hii
View attachment 3046484
View attachment 3046485
Nimesema mara nyingi sanaa kama taifa tuna generation ya vijana yenye uwezo mdogo kielimu na kuchambua issues. Kama ingekuwa hii generation ndiyo ingetakiwa kupigania uhuru kwa wakoloni basi believe me tungekuwa koloni mpaka leo. No wonder Mzee Magoma anawapelekesha puta huko Yanga hahahaaaaa
 
Pamoja na hayo, NIDA Wana-stress watu mpaka wanatafuta msaada sehemu ambazo wala hazihusiki.
Stress za Maisha nchi hii chanzo ni CCM tu... Full Stop.. Utatowa wapi sura yenye tabasamu la bhashasha.. wakati,Baba,Kaka nk.Wametekwa na wasiojulikana?:!Unamteka binadamu mwenzako,unamunyofoa kidole,halafu unampeleka mahakamani....hapo sijui muhalifu ni nani sasa. !
 
Nimesema mara nyingi sanaa kama taifa tuna generation ya vijana yenye uwezo mdogo kielimu na kuchambua issues. Kama ingekuwa hii generation ndiyo ingetakiwa kupigania uhuru kwa wakoloni basi believe me tungekuwa koloni mpaka leo. No wonder Mzee Magoma anawapelekesha puta huko Yanga hahahaaaaa
Nani mwenye dhamana ya kusimamia hiyo elimu ili iwe bora iwafanye wawe wavumbuzi na wabobezi wa mambo mengi mengi.....Madege Makubwa,Magari mazurimazuri,kwenda mwezini na masayarini huko kama NASA??!!Ni CCM tu sasa....sioni mwingine.
 
1. Waumini wa Mwamposa, kiboko ya wachawi, zumaridi, pastor tony kapola, lusekelo, geor davie na matapeli wengine kwenye dini.
2. Wote wanaojiunga na pyramid schemes kama forever living, Qnet, na zingine.
3. Wafuasi wa Mbowe.
4. Mashabiki wa muziki wa Singeli.
5. Waliojenga na wanaojenga mabondeni kwenye njia za maji.
6. Chawa wa Mama.
 
Back
Top Bottom