Ukitizama hizi picha ndio utagundua ujinga Tanzania bado ni janga kubwa sana, tunahitaji kufanya kitu

Ukitizama hizi picha ndio utagundua ujinga Tanzania bado ni janga kubwa sana, tunahitaji kufanya kitu

Nani mwenye dhamana ya kusimamia hiyo elimu ili iwe bora iwafanye wawe wavumbuzi na wabobezi wa mambo mengi mengi.....Madege Makubwa,Magari mazurimazuri,kwenda mwezini na masayarini huko kama NASA??!!Ni CCM tu sasa....sioni mwingine.
Wenye wajibu wa kuleta mabadiliko ni wananchi wenyewe but unfortunately more than 70 percent ya jamii yetu kwa sasa ni vijana tunaowazungumzia.
 
Wenye wajibu wa kuleta mabadiliko ni wananchi wenyewe but unfortunately more than 70 percent ya jamii yetu kwa sasa ni vijana tunaowazungumzia.
Mgoja siku nikielewa ulichomaanisha tutaendelea
 
Kuna ule uzi humu JF wa vituko mtandaoni,yaani unaweza ukavunjika mbavu kwa kucheka
 
Back
Top Bottom