Ukituliza Akili yako na Kuisoma 'Press Release' ya Yanga SC juu ya 'Hukumu' ya Manara utagundua aliyekuwa Kocha Wao Luc Eymael hakukosea alipowadharau

Tatizo la manara kutoka Simba akajenga uadui wakati tayari alikuwa ameshajenga heshima yake kubwa kwa mashabiki saizi tunamuona msaliti na mnafiki tu TFF wamefanya jambo jema.
Ndugu mdau, Manara ni Kama mtoto aliyedekezwa, kwa hiyo usipokuwa makini naye atakuvua nguo siku moja. Hiki kiburi anacho toka akiwa Simba.

Unaweza kukumbuka tukio la yeye kumzuia CEO asijibu maswali, au kumsemea mbovu yule mtangazaji mwanamke wa Clouds. Kwa hiyo alishafika level ya kujiona yeye Ni untouchable. Lazima anyooshwe, ili akili imkae Sawa.
 
Wewe upuuzi ndio unaokusumbua,kumbuka haji manara alizozana na nani?,je huyo aliywzozana nae hatakiwi kuhojiwa na kuhukumiwa?
Hiyo kamati iliyohukumu,imeundwa na nani?hivyo ndio vitu tunataka kuvijua na hajji ataibuka kidedea,vinginevyo katia nae ahukumiwe
 
Umetumia criminology procedure gani hapo?

Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
 

Take it from Me kaka…
Hakuna anaemuweza Haji[emoji12][emoji275]
Kuna jitu nyuma yake…
Najua walifungiwa kina wambura sijui Maisha ila kwa haji watashindwa[emoji12][emoji30]
Haji hakurupuki Kuongea anaambiwa nini cha Kuongea[emoji40][emoji12]
 
Hakuna sehemu manara ,kawaambia mumjadili Ni nyinyi na viherehere vyenu
Mbona press ya leo kamtaja barbra shida nini ? Mwambieni mtu wenu aache mambo ya kike kujicompare na mwanamke
Kinyesi wewe
 
Hata star tv habar wamemu ignore wametoa taarifa ya Wilfred Kidau
 
Kama Aliyefungiwa Si Feitoto Basi Makolo Tabu Iko Pale Pale Agosti 13
Mashabiki wa mbumbumbu Fc msimu ulioisha hawajabeba kombe lolote la maana na wameshindwa kumfunga mtani wake ndio maana wamejikita zaidi kwenye sekta ya udaku na umbea wanaenda na upepo mara washabikie Mpole cup , Sopu Cup , Sakho cup sasa hivi wako bize na Manara .

Walivyoona Yanga inashamiri walihamia kwenye udaku wa bahasha na tarehe 13 Fei alikata kabisa umbea wa bahasha na hawazungumzii tena .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…