Ukitumia internet vizuri kufanya utafiti wako binafsi utagundua Uchawi haupo. Hakuna mganga wala nabii atakayekutapeli. Wajinga ndio waliwao

hicho ulicho andika ndicho kilichosababisha huko australia madaktari wote wawe wanapewa training ya traditional medicine ili kuweza kubaini kama mtu anachangamoto ya upande wa pili na kumpa rufaa kwenda kwa herbarist
 
Hilo ni tatizo kwa wewe tu ambaye unaamini biashara haziwezi kukua exponentially.


Unaamini labda kuwa lazima mtu apate 1 halafu 2 halafu 3,4,5,6..... au aende nara mbili mbili aani 2, 4, 6, 8......

Lakini kwa nini usikubali kuna exponential growth katika biashara mfano 2, 2, 7, 25, 140, 5445 hivyo aaani
 
wachaga unawajua? Ni masikini au sio wasomi? Je kila mwisho wa mwaka hua wanaenda kufanya nini huko kilimanjaro licha ya kuwa ni wasomi wakubwa?
 
Watu wengi wachawi wanapinga kwamba uchawi haupo ili wazidi kuumiza wengine kwa uchawi sasa akilini kichwani mwako ndgu yangu
 
Walimu ni ma goi goi ndio maana wamefurika kwenye mikutano ya injili kutafuta miujiza ambayo haipo.walimu bwana, ma kenge kweli kweli
 
Lakini je, hayo maneno machache kweli yanatafanya kazi na ntakua superhero?
Kwa sababu kuna dawa tunaona watu wanatumia za kupata wanawake na kwa namna furani unaona kweli zinafanya kazi
Kiukweli umethibitisha maneno yake kuwa anaweza kukufanya superhero.

Hao wanaopewa dawa za kutongoza wanawake, si wanapewa kujiamini mbele ya hao wanawake. Na mwanaume anayejiamini anashindwaje kutongoza na kulala na wanawake atakao.

Ona;
Kabla - hajiamini hata kutongoza hawezi hadi kaenda kwa mganga
Baada - amepewa makonfidensi na mganga kuwa wanawake wanampaparukia, mvuto anao sasa amejiamini na anawapata kweli

Hujaona kama mganga amemtengeneza superhero anayeenda kwa jina la Kitombi saa hii mtaani????
 
wachaga unawajua? Ni masikini au sio wasomi? Je kila mwisho wa mwaka hua wanaenda kufanya nini huko kilimanjaro licha ya kuwa ni wasomi wakubwa?

Kwa nini umetaja Wachagga?
Jamii karibu zote Tanzania robo tatu ya Watu wake ni Maskini. Alafu wenye elimu wachache. Hakuna cha mchagga wala sijui nani.
 
Naomba nipe namba yako nikupeleke kwenye nyumba moja ipo mbagala. Utalala hapo siku moja tu alafu utakuja kutoa humu ushuhuda utakacho kikuta hapo. Kodi ya nyumba tutakulipia wenyewe.
Acha kubishana na watoto wa mama ambao hawaelew dunia inaendaje kila kitu wao wanategemea kugoogle
 
Uju
Ajuaji ukizid mwisho huwa unakuwa ni ushamba shaur yko
 
Mimi niseme tu kuwa watu mnapenda sana kurahisisha mambo pia mnapenda kutafuta habari zinazowafurahisha, mtu anajigamba amesoma PHYSIOLOGY yotn googln na pia amesoma PSYCHOLOGY yote google yaani hii ni dharau kubwa sana watu wanakaa darasani zaidi ya miaka minne wewe uje useme ni umemaliza kila kitu? ungekua umesoma human psychology na kuielewa vizuri usingeanzisha uzi wako maana umetaja mpaka mambo ya COGNITIVE ndani yake kuna PSYCHOLOGY of education na learning theories ungekuwa unazijua usingewaona watu wote wenye smartphone ni wajinga . pia ungekua unaijua history ya medicine vizuri usingeleta uzi wako. hivi ALBERT BANDULA, HYPOCRATES, TO YOUYOU na KEKULE unawajua? tumia simu yako kugoogle sawa! pia uchawi na uganga ni elimu ya siri na ni ngumu kuliko udaktari pia si kila mtu anaweza kufundishwa na shule yake huchukua miaka mitano mpaka kumi ndio maana hao unaowaona mtaani wengi ni matapeli ntaishia hapa wajuvi watakuwa wamenielewag
 
Wacha masihara wewe kuna jamaa saiv ni kipofu
 
Mtu anakuwa kipofu sababu ya uchawi ?

Hujawai kuona ng'ombe au mbwa amepata upofu. Na yeye anakuwa amerogwa ?
Acha kufananisha mnyama Na ambaye haongei.

Skia mkuu nakupa onyo tu kaa Mbali Na Mali Za watu Na hata ukimuibia boss wako basi usiibe kupitiliza ukataka kuwa kama yeye.

Huo ndio wosia wangu tu mkuu.Yakumbuke. Haya maneno.
 
Imani ya uchawi inaweza kuwa na madhara bila ya uchawi kuwepo, unaelewa hilo?
Yes umesema nilichotaka kusema! Ila umetumia maneno machache sana!

Ni kweli uwepo tu wa imani inatosha kabisa kutibu/kuloga/uponyaji n.k.

Hivo hata kama uchawi wenyewe haupo lakini kwa kujengewa imani na mganga (imani yako inakamilika kwa kumpelekea labda kuku n.k.) imani yako ndio itakuponya! (Kwa yale yanayoponyeka) kama huna imani kwa mganga wa kienyeji hutojoi
 
Sometimes nyumba unakuta haina mzunguko mzuri wa hewa.

Mtu halali vizuri joto kali

Mtu anadai mauzauza ameona. Kumbe ni ndoto za kumtishia aamke asije jifia tokana na hali mbaya ya chumbani
 
Sawa mzee wa human saikolojy, siku ukitoka hapo kwa shem uje tena humu. [emoji23]

Hoja huwa inapingwa kwa hoja na facts

Wapumbavu Mkiona mmezidiwa hoja mnaanza matusi na kashfa. Hiyo ni kawaida ya watu wajinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…