Uchawi upo sana Nafikiri mtu asiyejua hili ni idiot mkubwa.Visingizio vingi ni ishara mojawapo kuwa uchawi haupo.
Ungekuwepo kweli wala msingeleta tararira!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchawi upo sana Nafikiri mtu asiyejua hili ni idiot mkubwa.Visingizio vingi ni ishara mojawapo kuwa uchawi haupo.
Ungekuwepo kweli wala msingeleta tararira!
jibu maswali! Acha kukwepesha, wewe unaamini uchawi ni kuruka na ungo, hujui kuwa kuna jamii hawajui ungo ni kitu gani. Pia umesema unaijua vizuri saikolojia unaelewa nini kuhusu PSYCHOLOGY OF EDUCATION hasa hasa ktk kipengere cha aina za kujifunza? ukazungumzia habari za KEKULE na benzene nkakuuliza subcounscious mind ni nini na inapatikana sehemu gani ya mwili wa binadamu by anatomical position ? ndoto ni nini? je unaweza kuota kitu ambacho hujawahi kukiona? jibu maswali yote ndo tuendelee maana unaonekana hujui mambo mengi unakimbilia tu kugoogle ukishindwa sitaendelea kujadiliana na wwRusha ungo watu wote waone tumalize ubishi.
Wacha longolongo.
Thibitisha kuwa uchawi upo.Uchawi upo sana Nafikiri mtu asiyejua hili ni idiot mkubwa.
Swali gani? La placebo inavyofanya kazi?hujajibu swali nlokuuliza
Kama wewe ni passionate learner tutaanza safari na utajifunza mwenyewe hadi utapata kuelewa uchawi upo na tena kuna parallel unseen world. Ila uwe open minded na unyenyekevu wa kutaka kujifunza.Thibitisha kuwa uchawi upo.
Wapi nimesema naijua vizuri saikolojia?jibu maswali! Acha kukwepesha, wewe unaamini uchawi ni kuruka na ungo, hujui kuwa kuna jamii hawajui ungo ni kitu gani. Pia umesema unaijua vizuri saikolojia unaelewa nini kuhusu PSYCHOLOGY OF EDUCATION hasa hasa ktk kipengere cha aina za kujifunza? ukazungumzia habari za KEKULE na benzene nkakuuliza subcounscious mind ni nini na inapatikana sehemu gani ya mwili wa binadamu by anatomical position ? ndoto ni nini? je unaweza kuota kitu ambacho hujawahi kukiona? jibu maswali yote ndo tuendelee maana unaonekana hujui mambo mengi unakimbilia tu kugoogle ukishindwa sitaendelea kujadiliana na ww
Kama kuna parallel unseen world wewe umejuaje ipo?Kama wewe ni passionate learner tutaanza safari na utajifunza mwenyewe hadi utapata kuelewa uchawi upo na tena kuna parallel unseen world. Ila uwe open minded na unyenyekevu wa kutaka kujifunza.
Sitaki kuamini, nataka kujua.jibu maswali! Acha kukwepesha, wewe unaamini uchawi ni kuruka na ungo, hujui kuwa kuna jamii hawajui ungo ni kitu gani. Pia umesema unaijua vizuri saikolojia unaelewa nini kuhusu PSYCHOLOGY OF EDUCATION hasa hasa ktk kipengere cha aina za kujifunza? ukazungumzia habari za KEKULE na benzene nkakuuliza subcounscious mind ni nini na inapatikana sehemu gani ya mwili wa binadamu by anatomical position ? ndoto ni nini? je unaweza kuota kitu ambacho hujawahi kukiona? jibu maswali yote ndo tuendelee maana unaonekana hujui mambo mengi unakimbilia tu kugoogle ukishindwa sitaendelea kujadiliana na ww
nakuuliza tena kwa mara ya mwisho kuna aina ngapi za kujifunza ili binadamu apate maarifa au abadiri imani kwa facts? Je unaweza kuota kitu ambacho hujawahi kukiona? Je subcounscious mind inakaa sehemu gani by anatomical position? NB: kila swali nlokuuliza linamaana kubwa sana kwenye huu mjadala ukishindwa kujibu ujue hauna uwezo kujadili hii madaSitaki kuamini, nataka kujua.
Kwa uthibitisho wa kimantiki isiyo na logical inconsistency.
Thibitisha uchawi upo.
Visingizio vipi nimeweka hapo?Visingizio vingi ni ishara mojawapo kuwa uchawi haupo.
Ungekuwepo kweli wala msingeleta tararira!
mimi nimejionea kwa macho yangu zaidi ya mara 10 utaniambia nini mkuu? Unataka uthibitishiwe hapa kwa maandishi? Utasubiri sanaImani ya uchawi ni chanzo kikubwa cha ujinga na umasikini.
Ukiamini uchawi huna sababu ya kufanya kazi ili ujiendeleze kiuchumi, utataka kupata maendeleo kwa uchawi tu.
Vivyo hivyo hutakuwa na haja ya kuondoa ujinga, utaamini uchawi utaweza kukubeba.
Hii ndiyo sababu jamii zinazoamini sana uchawi ni jamii za watu masikini na wajinga.
Watu watauana iki wapate ngozi za zeruzeru, wapate vichwa vya vipara, viwasaidie wapate utajiri.
Wakati wenzao wanavumbua sayansi na teknolojia za kutupa maendeleo makubwa.
Inategemea na ni biashara gani inayofanywaHilo ni tatizo kwa wewe tu ambaye unaamini biashara haziwezi kukua exponentially.
Unaamini labda kuwa lazima mtu apate 1 halafu 2 halafu 3,4,5,6..... au aende nara mbili mbili aani 2, 4, 6, 8......
Lakini kwa nini usikubali kuna exponential growth katika biashara mfano 2, 2, 7, 25, 140, 5445 hivyo aaani
Haha, inawezekana. Ila kuna kesi unaona kabisa huyu jamaa dawa aliyotumia kweli imefanya kazi. Maana unakuta dem ana respond isivyo kawaidaKiukweli umethibitisha maneno yake kuwa anaweza kukufanya superhero.
Hao wanaopewa dawa za kutongoza wanawake, si wanapewa kujiamini mbele ya hao wanawake. Na mwanaume anayejiamini anashindwaje kutongoza na kulala na wanawake atakao.
Ona;
Kabla - hajiamini hata kutongoza hawezi hadi kaenda kwa mganga
Baada - amepewa makonfidensi na mganga kuwa wanawake wanampaparukia, mvuto anao sasa amejiamini na anawapata kweli
Hujaona kama mganga amemtengeneza superhero anayeenda kwa jina la Kitombi saa hii mtaani????
Nakwenda na hiyo statement yako ya mwisho si kwa sababu nimeshindwa kujibu maswali yako, bali kwa sababu nataka kuonesha logical fallacy ya non sequitur.nakuuliza tena kwa mara ya mwisho kuna aina ngapi za kujifunza ili binadamu apate maarifa au abadiri imani kwa facts? Je unaweza kuota kitu ambacho hujawahi kukiona? Je subcounscious mind inakaa sehemu gani by anatomical position? NB: kila swali nlokuuliza linamaana kubwa sana kwenye huu mjadala ukishindwa kujibu ujue hauna uwezo kujadili hii mada
mimi nimejionea kwa macho yangu zaidi ya mara 10 utaniambia nini mkuu? Unataka uthibitishiwe hapa kwa maandishi? Utasubiri sana
Ni kweli mkuu.Waganga wengi wanawapiga pesa misukule ,niliona video za huyo sheikh kweli nikagundua wajinga waliwao.
Mganga anachofanya ni kukujengea imani tu na kuamini kwamba hii dawa itanitibu kumbe hamna kitu.....Sasa Mganga anakwambia ili biashara yako iende vizuri amka saa 11 kabla watu hawajaamka fagia kisha nyunyuzia hii dawa halafu usiku funga wa mwisho then nyunyuzia dawa kwa mantic hiyo ni lazima utawapata wateja wale wa asuhubi sana na wale wa late night hivyo kuboost mauzo.
Au mama ntilie anaenda kwa mganga kisha mganga anamwambia hii dawa inahitaji mtu awe safi yaani mazingira yawe safi hapo ndiyo jini atakaa na kuvuta wateja ,bila kujua wateja wa chakula wanapenda mazingira na usafi wa wapikaji/wahudumu.