Ukiumizwa na kutendwa, bado unaweza kutoa msamaha?

Ukiumizwa na kutendwa, bado unaweza kutoa msamaha?

Tembo25

Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
39
Reaction score
25
Katika maisha haya bado nawaza tofauti ya kuumizwa na kutendwa maana najua mtu kukuumiza ni pale amekuonea au kupoteza imani yake juu yako lakini kutendwa na jua tu labda kwenye usaliti wa mapenzi au umeachwa, ila mimi juzi yaliyonikuta hata nalia kwa uchungu kwani mwanaume niliyechumbiwa naye kwa miaka 2 amenisaliti tena na shangazi yangu na bado kanipora mali zangu na juu ya hapo kinanisikitisha kujua kuwa ni mhalifu kutoka Kenya na anatafutwa na polisi.

Na zaidi ya yote kunifanyia hayo mimi ndo mtu pekee niliyesalia kupelelezwa na polisi kuhusu maficho yake. Kwa moyo wangu nataka nimpeleke polisi lakini ananiambia kasingiziwa na hana hatia na ameniomba na kunitaka sana kumstiri kwa polisi.

Sa sijui nifanyeje?
 
Shukuru kuwa umeyajua hayo na yamekutokea ikiwa bado ni mapema.

Forgive and forget, move on. Cha muhimu uhai bado upo.
Naomba upitie makala yangu kwenye stories of changes na unipe kura au maoni yakohttps://www.jamiiforums.com/threads/mahangaiko-yangu-na-mitandao-ya-kijamii.2019547/
 
Hayo ndo maisha ni changamoto tu hamna jinsi .kusamehe kawaida ila usimumini Tena !!

Unaweza kujiona hauna thamani ila tambua kiasi fulani ulishawai kuwa na thamani kwake hayo machozi ni sehemu tu historia ya Maisha yako yatabaki kama kumbukumbu na hautolia Tena kwa mtu huyo huyo .Asilimia kubwa sisi binadamu katika nyanja zote za kijamii mafanikio, elimu na mapenzi tulishawai kuanguka sana mno bado tukanyanyuka ikabaki story ukikumbuka unaweza kucheka.....Yote na yote kwa Maisha ya sasa tushare furaha na watu tofauti awe rafiki ,mpenzi mpaka wazazi.

Nina maana gani kipind tuchukulie elimu ya upili yaani sekondari tulikuwa na marafiki na mizunguko yetu kati ya miaka minne walikuwa na thamani katika daily routine yetu asipokuja shule unaona Kuna pengo ukaenda advance yeye labda alienda kwingine ukapata wengine wale wa nyuma ukasahau the cycle goes on mpaka mpaka unafika chuo...Nije kweny point yangu kuhusu mapenzi natumai labda miaka kadhaa na jamaa kabla haijakuwa msala mlikuwa na mda mzuri pamoja at least mshare kitu fulani basi jua ni time ya kuanza safari na mwingine.... Amini hakuna maumivu yanadumu milele utapata mwingi kwa idhini ya mungu
 
Pole sana..
Io ishu ya uhalifu imekaaje mkuu
Hayo ndo maisha ni changamoto tu hamna jinsi .kusamehe kawaida ila usimumini Tena !!

Unaweza kujiona hauna thamani ila tambua kiasi fulani ulishawai kuwa na thamani kwake hayo machozi ni sehemu tu historia ya Maisha yako yatabaki kama kumbukumbu na hautolia Tena kwa mtu huyo huyo .Asilimia kubwa sisi binadamu katika nyanja zote za kijamii mafanikio, elimu na mapenzi tulishawai kuanguka sana mno bado tukanyanyuka ikabaki story ukikumbuka unaweza kucheka.....Yote na yote kwa Maisha ya sasa tushare furaha na watu tofauti awe rafiki ,mpenzi mpaka wazazi.

Nina maana gani kipind tuchukulie elimu ya upili yaani sekondari tulikuwa na marafiki na mizunguko yetu kati ya miaka minne walikuwa na thamani katika daily routine yetu asipokuja shule unaona Kuna pengo ukaenda advance yeye labda alienda kwingine ukapata wengine wale wa nyuma ukasahau the cycle goes on mpaka mpaka unafika chuo...Nije kweny point yangu kuhusu mapenzi natumai labda miaka kadhaa na jamaa kabla haijakuwa msala mlikuwa na mda mzuri pamoja at least mshare kitu fulani basi jua ni time ya kuanza safari na mwingine.... Amini hakuna maumivu yanadumu milele utapata mwingi kwa idhini ya mungu
Naomba uangalie pia makala yangu kwenye s stories of changes na unipe kura au maoni yako
 
Uchumba sio ndoa Hapo Mungu kakuonyesha ni mtu wa aina gani maamuzi ni yako uingie ndoani au usiingie. Bahati za kuonyeshwa mchumba alivyo kabla ya ndoa wanapata wachache Sana kama wewe. So shukuru, mlinde kisha temana nae kwa amani, maisha sio uadui wema ni akiba kesho uliyetemana nae utamkuta ofisi fulani atakusaida ukiwa na shida
 
Uchumba sio ndoa Hapo Mungu kakuonyesha ni mtu wa aina gani maamuzi ni yako uingie ndoani au usiingie. Bahati za kuonyeshwa mchumba alivyo kabla ya ndoa wanapata wachache Sana kama wewe. So shukuru, mlinde kisha temana nae kwa amani, maisha sio uadui wema ni akiba kesho uliyetemana nae utamkuta ofisi fulani atakusaida ukiwa na shida
Umeongea kwa hisia .
 
Hayo ndo maisha ni changamoto tu hamna jinsi .kusamehe kawaida ila usimumini Tena !!

Unaweza kujiona hauna thamani ila tambua kiasi fulani ulishawai kuwa na thamani kwake hayo machozi ni sehemu tu historia ya Maisha yako yatabaki kama kumbukumbu na hautolia Tena kwa mtu huyo huyo .Asilimia kubwa sisi binadamu katika nyanja zote za kijamii mafanikio, elimu na mapenzi tulishawai kuanguka sana mno bado tukanyanyuka ikabaki story ukikumbuka unaweza kucheka.....Yote na yote kwa Maisha ya sasa tushare furaha na watu tofauti awe rafiki ,mpenzi mpaka wazazi.

Nina maana gani kipind tuchukulie elimu ya upili yaani sekondari tulikuwa na marafiki na mizunguko yetu kati ya miaka minne walikuwa na thamani katika daily routine yetu asipokuja shule unaona Kuna pengo ukaenda advance yeye labda alienda kwingine ukapata wengine wale wa nyuma ukasahau the cycle goes on mpaka mpaka unafika chuo...Nije kweny point yangu kuhusu mapenzi natumai labda miaka kadhaa na jamaa kabla haijakuwa msala mlikuwa na mda mzuri pamoja at least mshare kitu fulani basi jua ni time ya kuanza safari na mwingine.... Amini hakuna maumivu yanadumu milele utapata mwingi kwa idhini ya mungu
True na marafiki mlioshibana shuleni leo mkikutana baada ya miaka ule urafiki unabakia historia zaidi na sio kuendelea kubwa Mkubwa tena, sababu unakuta tayari KILA mmoja ana marafiki wengine kulingana na shughuli au mahali alipo.
 
True na marafiki mlioshibana shuleni leo mkikutana baada ya miaka ule urafiki unabakia historia zaidi na sio kuendelea kubwa Mkubwa tena, sababu unakuta tayari KILA mmoja ana marafiki wengine kulingana na shughuli au mahali alipo.
Kabisaa...ni kwelii
 
Uchumba Sio ndoa na unaweza kudate na mtu miaka mingi na asikuoe ukaja kuolewa na mtu mlodate miez miwil
Ukitaka kuwa na amani samehe
 
Uchumba Sio ndoa na unaweza kudate na mtu miaka mingi na asikuoe ukaja kuolewa na mtu mlodate miez miwil
Ukitaka kuwa na amani samehe
Asanteni wote mmmenipa faraja na matumaini mapya
 
Uchumba sio ndoa Hapo Mungu kakuonyesha ni mtu wa aina gani maamuzi ni yako uingie ndoani au usiingie. Bahati za kuonyeshwa mchumba alivyo kabla ya ndoa wanapata wachache Sana kama wewe. So shukuru, mlinde kisha temana nae kwa amani, maisha sio uadui wema ni akiba kesho uliyetemana nae utamkuta ofisi fulani atakusaida ukiwa na shida
Una busara sana
 
Back
Top Bottom