Katika maisha haya bado nawaza tofauti ya kuumizwa na kutendwa maana najua mtu kukuumiza ni pale amekuonea au kupoteza imani yake juu yako lakini kutendwa na jua tu labda kwenye usaliti wa mapenzi au umeachwa, ila mimi juzi yaliyonikuta hata nalia kwa uchungu kwani mwanaume niliyechumbiwa naye kwa miaka 2 amenisaliti tena na shangazi yangu na bado kanipora mali zangu na juu ya hapo kinanisikitisha kujua kuwa ni mhalifu kutoka Kenya na anatafutwa na polisi.
Na zaidi ya yote kunifanyia hayo mimi ndo mtu pekee niliyesalia kupelelezwa na polisi kuhusu maficho yake. Kwa moyo wangu nataka nimpeleke polisi lakini ananiambia kasingiziwa na hana hatia na ameniomba na kunitaka sana kumstiri kwa polisi.
Sa sijui nifanyeje?
Na zaidi ya yote kunifanyia hayo mimi ndo mtu pekee niliyesalia kupelelezwa na polisi kuhusu maficho yake. Kwa moyo wangu nataka nimpeleke polisi lakini ananiambia kasingiziwa na hana hatia na ameniomba na kunitaka sana kumstiri kwa polisi.
Sa sijui nifanyeje?