whiteskunk
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 3,904
- 9,342
Mchome kwa polisi ili anyooke, dawa ya moto ni moto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ataskip tu kesi itaisha kimtindo utaona!! Kaka nimepitia magumu zaidi ya hayo Maisha haya na sijawai kukaa hata nyuma ya nondo!! Ishu ni father alikuwa kamanda jeshini huko na polisi kibao anajuana nao we acha.Uchumba sio ndoa Hapo Mungu kakuonyesha ni mtu wa aina gani maamuzi ni yako uingie ndoani au usiingie. Bahati za kuonyeshwa mchumba alivyo kabla ya ndoa wanapata wachache Sana kama wewe. So shukuru, mlinde kisha temana nae kwa amani, maisha sio uadui wema ni akiba kesho uliyetemana nae utamkuta ofisi fulani atakusaida ukiwa na shida
Asante ...ila wema haulipwi kwa baya na mola tu atampa adhabu yake anayostahiliMchome kwa polisi ili anyooke, dawa ya moto ni moto.
Naomba kura yako kwenye makala yangu ya stories of changesAsante ...ila wema haulipwi kwa baya na mola tu atampa adhabu yake anayostahili
Shangazi na jamaa yako hawajuani? Je unamwacha au unaendelea naye?Katika maisha haya bado nawaza tofauti ya kuumizwa na kutendwa maana najua mtu kukuumiza ni pale amekuonea au kupoteza imani yake juu yako lakini kutendwa na jua tu labda kwenye usaliti wa mapenzi au umeachwa, ila mimi juzi yaliyonikuta hata nalia kwa uchungu kwani mwanaume niliyechumbiwa naye kwa miaka 2 amenisaliti tena na shangazi yangu na bado kanipora mali zangu na juu ya hapo kinanisikitisha kujua kuwa ni mhalifu kutoka Kenya na anatafutwa na polisi.
Na zaidi ya yote kunifanyia hayo mimi ndo mtu pekee niliyesalia kupelelezwa na polisi kuhusu maficho yake. Kwa moyo wangu nataka nimpeleke polisi lakini ananiambia kasingiziwa na hana hatia na ameniomba na kunitaka sana kumstiri kwa polisi.
Sa sijui nifanyeje?
Inamaana mfano mke akimfumania mume anazini anastshili kupewa talaka??Shangazi na jamaa yako hawajuani? Je unamwacha au unaendelea naye?
Kumbuka hujaolewa, na hata wanandoa, kuzini ni kigezo tosha cha kutalikiana. Kazi kwako!
Kweli Kabisaaaa!Uchumba Sio ndoa na unaweza kudate na mtu miaka mingi na asikuoe ukaja kuolewa na mtu mlodate miez miwil
Ukitaka kuwa na amani samehe