Ukiunganisha dot ndo utaelewa: Alitolewa Kakoko bandarini akatolewa Chamriho ujenzi, akatolewa Kalemani Nishati n.k

Ukiunganisha dot ndo utaelewa: Alitolewa Kakoko bandarini akatolewa Chamriho ujenzi, akatolewa Kalemani Nishati n.k

Spana zitaendelea kama kawaida dhidi ya uhuni wowote utakaofanyika!
We chekelea per diem za safari ila mama yenu lazma aeleweshwe
Hahahahaha, kosoeni ila kwa staha...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], Mfalme wa chato kukosolewa ndio alikuwa hataki kabisa....Kaeni kwa kutulia mama ana miezi nane(8) tu..
 
That shit is very complicated somehow, mtu anaweza kusema Samia amewaweka hao ili afanye nao kazi vizuri wenye mtazamo unaofanana nae, lakini kwasababu amewaweka watu wenye rekodi mbovu hiyo dhana inakufa kifo cha mende.

Habari ya bandari ya Bagamoyo na miradi mingine yote mikubwa ukiwemo wa LNG sharti mikataba yake iwekwe wazi ijulikane hizo pesa za miradi zitatoka wapi na kama ni mikopo itarudishwa kwa njia zipi, tusileteane maneno mengi hapa ya kuipamba hiyo miradi bila vitu vya msingi vinavyoihusu kupatiwa majibu ya kuridhisha kwa wakati.
Sisi outsider inatupa shida kupata undani au ukweli kwa hizo serikali za CCM.
Kusema Kalimani na yule mwingine wa madini ni bora kuliko wengine kushika nyadhifa hizo siyo kweli they could fit to be junior ministers in respective ministries.
Tanzania haijaishiwa dream team za uongozi wa taifa, shida ni ubinafusi na woga wa kumteua mtu asiye mwoga.
Tukija kwa dogo January Makamba sisi wa nje ya duara hatujui ukweli au uwongo wa wanaomtuhumu, lakini ni waziri January alieleta matumaini ya kujenga mtambo mama kuzalisha LNG kuliko waziri yeyote .
Uzuri wa mambo leo kwa serikali ya SSH kila kitu kinaanikwa hakuna siri.Viva Mama yetu.
 
Hahahahaha, kosoeni ila kwa staha...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], Mfalme wa chato kukosolewa ndio alikuwa hataki kabisa....Kaeni kwa kutulia mama ana miezi nane(8) tu..
Kama staha ambazo mlizitumia kumkosoa hayati hata akiwa kaburini tutazitumia dhidi ya mama vile vile! Kuleni azam embe mtulie
 
Kama staha ambazo mlizitumia kumkosoa hayati hata akiwa kaburini tutazitumia dhidi ya mama vile vile! Kuleni azam embe mtulie
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], kaeni kwa kutulia.. Mama anendelea pale Hayati alipoishia , msimwekee kiwingu.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], kaeni kwa kutulia.. Mama anendelea pale Hayati alipoishia , msimwekee kiwingu.
Ni kweli kabisa maana hayati alituacha na tozo
 
Sisi outsider inatupa shida kupata undani au ukweli kwa hizo serikali za CCM.
Kusema Kalimani na yule mwingine wa madini ni bora kuliko wengine kushika nyadhifa hizo siyo kweli they could fit to be junior ministers in respective ministries.
Tanzania haijaishiwa dream team za uongozi wa taifa, shida ni ubinafusi na woga wa kumteua mtu asiye mwoga.
Tukija kwa dogo January Makamba sisi wa nje ya duara hatujui ukweli au uwongo wa wanaomtuhumu, lakini ni waziri January alieleta matumaini ya kujenga mtambo mama kuzalisha LNG kuliko waziri yeyote .
Uzuri wa mambo leo kwa serikali ya SSH kila kitu kinaanikwa hakuna siri.Viva Mama yetu.
Umeongea points za maana sana bro.
Tumejaa tuhuma ambazo hazina ushahidi.
Watu wanawaliliia Mawaziri furani kama vile Tanzania imeishiwa wachapa kazi.
Kila mtanzania ana ndoto za kutumikia nchi yake bhana.
 
Nasema hivo kwa sababu zifatazo:
Kwanza mara tu baada ya Rais Samia kuingia alifanya mabadiliko bandarini akidaiwa kuwa Kakoko ni fisadi na akawekwa chini ya uchunguzi ambao mpaka leo hakuna kilichoelezwa kwa undani tofauti na propaganda! Naweza kuamini kuwa Kakoko alitolewa pale kutokana na msimamo wake tayari kuhusu bandari ya BAGAMOYO amabayo alikuwa anaipinga sana!
Pili Rais Samia alifanya mabadiliko katika vizara ya ujenzi kwa kumtoa Chamriho hili nalo ukiliangalia kwa umakini Chamriho amekuwa katibu mkuu wa wizara ya ujenzi kwa mda mrefu kwa hiyo katika majadiriano ya bandari pendwa ya Msoga team BAGAMOYO alihusika kwa sehemu kubwa na ukizingatia tayari bandari hiyo ulikuwa ishaanza kupata mkwamo team ikaoma hata huyu Eng Chamriho anaweza kuwa kikwazo akawekwa pembeni bila sababu zenye mashiko!
Tatu ukitizama mabadiliko ya hivi karibuni ya kumtoa Kalemani bado utagundua mi mwendelezo wa kuwaondoa watu waliokiwa na msimamo wa kizalendo juu ya mikataba mibovu, hapa unaweza kuona Waziri wa sasa Makamba akifanya mikutano mingi na wawekezaji katika sekta ya gesi, kwa upande mwingine licha ya makamba kupingana na ujenzi wa bwawa la Mwl Nyerere lakini bado kupewa uwaziri ili kutimiza mision ambayo tayari ishapangwa na watawala ya awamu hii ya Sita hususani kwenye eneo la Gesi,eneo ambalo awamu ya nne ilituletea janga kubwa kwa mkataba wa ovyo wa gesi ya mtwara ambayo hata wana Mtwara wenyewe hawajui inafaida gani mpaka leo!
Nne mda si mrefu mtaona mabadiliko pia katika wizara ya nishati na madini sio kwa sababu waziri ni mbovu ila kwa sababu kuna vitu haviendi sawa vya kundi fulani la watu! Siku za hivi karibuni Waziri Biteko amekuwa akishutumiwa kwa ufisadi usio bayana akihusishwa pia na upotevu wa tanzanite kule mererani n.k yote hayo ni dalili kuwa hatakiwi kwenye hiyo wizara na bila shaka Waziri Mchengerwa amabaye huko utumishi alidokeza kuhusu uchunguzi juu ya wizara hii!
Hitimisho,Ikumbukwe kuwa nchi hii sio ya CCM na Sio ya team Msoga, haya yote yanayofanyika ya kuja kuwadanganya watanzania hususani kwenye mradi wa bandari ya BAGAMOYO ni hatari kubwa kwa hapo baadae kama yatafanyika bila umakini mkubwa,Serkali hii asidhanie kuwa watanzania ni wajinga kiasi hicho cha kuruhusu ujenzi wa bandari ambayo utaathiri bandari zetu hususani bandari ya Dar es salaam!
Kwahiyo wewe huna Ndugu, Rafiki ambae unadhani angeweza kupata nafasi hizo maana unaona Bora hata ufe kabisa ili wengine wasipate nafasi
 
Mama anadanganywa kindezi sana.

Matokeo ya Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo utakuja kuwa sawa kile kinachotokea baada ya kumaliza ujenzi wa International Airport kule kijijini Chato. Time will tell.
 
Hakuna anayeota hapa! Akili kubwa ndo inaweza kung'amua haya mambo akili kisoda kajadili mapenzi!
Sijui huwa mnawaza kwa kutumia nini, yaani kaingia rais mpya, ambaye naye anataka kutengeneza legacy yake halafu wewe unampangia wa kufanya naye kazi?? Yaani unalazimisha aendelee na watendaji wa JPM??
 
Waziri Mwambe amefikia hatua yakuwadanganya watanzania kuwa hakuna mkataba wowote uliowahi kusainiwa!!
Wapinzani wametuchelewesha sana. Au nasema UONGO ndugu zangu jamani?
Hapa kazi tu = uongo
Serikali ya viwanda =uongo
Milion 50 kila kijiji= uongo
Yote yasemwayo huko lumumba ni uongo.
Ccm ni ileile oh ni ile ileeeeeeeeeee
 
Nasema hivo kwa sababu zifatazo:
Kwanza mara tu baada ya Rais Samia kuingia alifanya mabadiliko bandarini akidaiwa kuwa Kakoko ni fisadi na akawekwa chini ya uchunguzi ambao mpaka leo hakuna kilichoelezwa kwa undani tofauti na propaganda! Naweza kuamini kuwa Kakoko alitolewa pale kutokana na msimamo wake tayari kuhusu bandari ya BAGAMOYO amabayo alikuwa anaipinga sana!
Pili Rais Samia alifanya mabadiliko katika vizara ya ujenzi kwa kumtoa Chamriho hili nalo ukiliangalia kwa umakini Chamriho amekuwa katibu mkuu wa wizara ya ujenzi kwa mda mrefu kwa hiyo katika majadiriano ya bandari pendwa ya Msoga team BAGAMOYO alihusika kwa sehemu kubwa na ukizingatia tayari bandari hiyo ulikuwa ishaanza kupata mkwamo team ikaoma hata huyu Eng Chamriho anaweza kuwa kikwazo akawekwa pembeni bila sababu zenye mashiko!
Tatu ukitizama mabadiliko ya hivi karibuni ya kumtoa Kalemani bado utagundua mi mwendelezo wa kuwaondoa watu waliokiwa na msimamo wa kizalendo juu ya mikataba mibovu, hapa unaweza kuona Waziri wa sasa Makamba akifanya mikutano mingi na wawekezaji katika sekta ya gesi, kwa upande mwingine licha ya makamba kupingana na ujenzi wa bwawa la Mwl Nyerere lakini bado kupewa uwaziri ili kutimiza mision ambayo tayari ishapangwa na watawala ya awamu hii ya Sita hususani kwenye eneo la Gesi,eneo ambalo awamu ya nne ilituletea janga kubwa kwa mkataba wa ovyo wa gesi ya mtwara ambayo hata wana Mtwara wenyewe hawajui inafaida gani mpaka leo!
Nne mda si mrefu mtaona mabadiliko pia katika wizara ya nishati na madini sio kwa sababu waziri ni mbovu ila kwa sababu kuna vitu haviendi sawa vya kundi fulani la watu! Siku za hivi karibuni Waziri Biteko amekuwa akishutumiwa kwa ufisadi usio bayana akihusishwa pia na upotevu wa tanzanite kule mererani n.k yote hayo ni dalili kuwa hatakiwi kwenye hiyo wizara na bila shaka Waziri Mchengerwa amabaye huko utumishi alidokeza kuhusu uchunguzi juu ya wizara hii!
Hitimisho,Ikumbukwe kuwa nchi hii sio ya CCM na Sio ya team Msoga, haya yote yanayofanyika ya kuja kuwadanganya watanzania hususani kwenye mradi wa bandari ya BAGAMOYO ni hatari kubwa kwa hapo baadae kama yatafanyika bila umakini mkubwa,Serkali hii asidhanie kuwa watanzania ni wajinga kiasi hicho cha kuruhusu ujenzi wa bandari ambayo utaathiri bandari zetu hususani bandari ya Dar es salaam!
Bila shaka wewe ni wale wasioamini kwamba magufuli alifariki kwa Corona???? Ulitaka mama maendeleo na watendaji wa magufuli ili iweje sasa???
 
Kwa hiyo hao niliowataja pale ni wasukuma wote? Usiwe unaendeshwa na mihemko ya propaganda hakuna kitu kinaitwa sukuma gang! Ila msoga ipo na inafanya ufisadi ma ujinga ndani ya nchi hii sana tu!
Mwanzo nilikuwa nataka kushawishika na uzalendo kwa hoja yako ila ulivyo "comment" hapa, basi nimeamini we ni sgang kweli maana unakataa kuwa sgang haipo lakini wakati huo unataka sisi tusio mashabiki wa makundi hayo pia tuamani kuwa kuna msogang inayofanya kazi. Kama Ndiyo hivyo, basi msogang itakuwa imechukua nafasi ya sgang inayosadikiwa kupukutishwa japo sisi hatuyaamini haya.
 
Tunawaambia wekeni mkataba hapa tuuone, mnatuwekea picha wakisaini mkataba, what a fack is? Mikataba ipo ya namna nyingi, bahati mbaya kwa kiswahili yote huitwa Mikataba.
Dah....mbona unajichanganya...ishu ilikuwa mkataba umesainiwa au bado 🤣🤣🤣🤭
 
Back
Top Bottom