Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Nipo nakula bwabwa hapà mkuu karibuNAKAZIA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo nakula bwabwa hapà mkuu karibuNAKAZIA
Huyu jamaa ni mshabiki wa team gani ya mpira wa hapa bongo?Na wanye sura zetu unatuweka katavi au
View attachment 3042516
TwilaX ndio wapi? 😹😹
Somtmc hutongz kabisa🤪Yani ukiwa handsome hutumii nguvu nyingi, unaweka miadi na mtoto, ukikutana nae, ukivuta tu anakuja kifuani hana pingamizi.
Mwishowe anafunguka kua alikua nakuelewa sana alikua akikuona hajiwezi.
Sema ili u maintain u handsome, uwe na hela la sivyo utapauka kweli kweli,
Pesa kidogo huku inang’aa bas watoto wote wako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hb wengi wake za watu
Twila ndo wapi? 😹😹Twila
Bado mbona had wanaume watakuja wakutongozee.Kwa kweli ndo maana mademu wananitongoza kumbe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wenye sura ngumu tukutane hapa. We are men for God's sake! [emoji123][emoji123][emoji123]
View attachment 3042487
View attachment 3042489
Usinifanyie hivyo Labella Mafia.Twila ndo wapi? 😹😹
Em sema kwelii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanaume mahandsome wengi nao wana waume zao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji81][emoji81][emoji81] hatareee
Hawa mahandsome ni kukaa nao kimkakati
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dogo Chunga mziki wahuni watakupasua spika.
Toto la kiumwe kutwa ng'ang'ang'a uhandsome nyenyenye.
Dogooooo we ni rangi nyingi eeh?
Hivi unahadithia?Usinifanyie hivyo Labella Mafia.
Nshachoka kuhadithia.
Umeongea point.Uzuri au mvuto wa aina yoyote ule unakurahisishia vitu vingi iwe kwenye kazi au mahusiano.
Ila kwa mtoto wa kiume kujisifia muonekano kila muda sio sawa mkuu maana itakufanya watu wahisi hauna kitu kingine cha kujivunia uanaume wako zaidi ya sura. Kitu ambacho hakimtafsiri mwanaume maana uanaume ni jitihada.
Kweli nishawauzia sana vijora 😹😹😹Em sema kwelii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Oya Ndonga hao uliowatag ushawapasua Nini ?😂We jamaa unapenda kuongelea uhandsome daaah unanitamanisha kweli unaonekana una makalio laini kama sambusa.
Kwanini usije geto nikufungie wiki nzima huku nakupasua KITUMBUA PORI halafu nikulipe AFTATU ukanunue angalau kavocha.... eti!
Njoo baby.....
Cc: mshamba_mwingine Poor Brain Mzee wa kupambania Kapeace Extrovert dronedrake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkitembea alafu wote mkivaa suruali nakuwa ngumu kufahamu nani ni demu kati yenu.
Naweza kula wote.
Nakupenda.Hivi unahadithia?
Haya story yako inafundisha nini?? 😹😹😹
Muungwana emu njoo slow slow mbele kuna mteremko mkali
Wenzio wote wananiogopa.Nakupenda.