Ukiwa handsome, kutongoza ni kama kucheza game in “Easy mode”

Ukiwa handsome, kutongoza ni kama kucheza game in “Easy mode”

Hizi ni chuki zisizo na msingi. Wanaume wenye sura nzuri wapo. Hata Yusufu kwenye biblia anatajwa kama mwanaume handsome sana kuwahi kutokea ndo maana mke wa kigogo alimtaka kimapenzi. Binafsi mwaka 2000 nikiwa form one nilikutana na mama fulani siku ya jumamosi tukiwa tumeenda mjini.. yule mama alinisimamisha na kuniuliza jina akaniambia kwa jinsi ninavyoonekana itakuwa primary nilisoma english medium. Mwaka huohuo nilienda likizo fupi kwa mama mdogo sasa kuna siku rafiki yake akamuuliza kwa kilugha huyu mtoto handsome ni wa kwa nani akifikiri sijui kilugha...

Hali ya kuitwa itwa handsome ilikoma nilipomaliza form six hadi chuo. Kama miaka 8 hivi. Hali yangu ilikuwa mbaya sana kiuchumi mpaka mwonekano. Mwaka 2014 ndo kahaba mmoja niliyemchukua pale Mrina Annex akaniambia mimi ni handsome. Mwaka 2017 pia kahaba mwingine wa pale Sewa Bar Buguruni aliniambia kwa jinsi nilivyo haipendezi mimi kwenda Sewa kununua ndo nikaacha hiyo tabia.
MORAL OF THE STORY: Ma-handsome tupo na sio wake za watu. Hiyo kauli yako ni ya chuki dhidi yetu.
Ndo uniandikie gazeti lote hilo, nimeishia kwa Yusuph kwahiyo mwenzetu wewe unajifananisha na huyo mtume wa Mungu?? Kwani na wewe ni nabii au mtume au mpakwa mafuta au labda unaishi karne ipi mwenzetu hii hii tuliyomo? Halafu hakuwa anajisifia hivi sifa zake zilimkuta akiwa hana habari muwe mnajilinganisha na mnaofanana nao,

nyie ni wake za watu ndo nishasema njoeni mnipige mkija na bwana zenu nawachukua mnaachwa
 
Ndo uniandikie gazeti lote hilo, nimeishia kwa Yusuph kwahiyo mwenzetu wewe unajifananisha na huyo mtume wa Mungu?? Kwani na wewe ni nabii au mtume au mpakwa mafuta au labda unaishi karne ipi mwenzetu hii hii tuliyomo? Halafu hakuwa anajisifia hivi sifa zake zilimkuta akiwa hana habari muwe mnajilinganisha na mnaofanana nao,

nyie ni wake za watu ndo nishasema njoeni mnipige mkija na bwana zenu nawachukua mnaachwa
Mashangazi wenye sura personal utawajua tu. Makasiriko kibao.
 
Yani ukiwa handsome hutumii nguvu nyingi, unaweka miadi na mtoto, ukikutana nae, ukivuta tu anakuja kifuani hana pingamizi.

Mwishowe anafunguka kua alikua nakuelewa sana alikua akikuona hajiwezi.

Sema ili u maintain u handsome, uwe na hela la sivyo utapauka kweli kweli,

Pesa kidogo huku inang’aa bas watoto wote wako
Gen-z naona inaelekea kuwa Gen-F
 
binafsi mimi sio mzuri wa sura. nilikuja kugundua kuwa wanawake hawapendi sana wanawake mahandsome, ni kama tulivyo wanaume, tunaamini beautiful girl atamendewa na kila mtu. wadada wanapenda mtu wa sura ya kazi, kwasababu hata shuguli yenyewe hua hawapendi kuremba, wanapenda wapigwe hadi watake kukimbia. ndo tunavyowafanya wake zetu hadi waliamua kutulia hata kabla hawajaokoka.
 
binafsi mimi sio mzuri wa sura. nilikuja kugundua kuwa wanawake hawapendi sana wanawake mahandsome, ni kama tulivyo wanaume, tunaamini beautiful girl atamendewa na kila mtu. wadada wanapenda mtu wa sura ya kazi, kwasababu hata shuguli yenyewe hua hawapendi kuremba, wanapenda wapigwe hadi watake kukimbia. ndo tunavyowafanya wake zetu hadi waliamua kutulia hata kabla hawajaokoka.
Acha kujifariji
 
Yani ukiwa handsome hutumii nguvu nyingi, unaweka miadi na mtoto, ukikutana nae, ukivuta tu anakuja kifuani hana pingamizi.

Mwishowe anafunguka kua alikua nakuelewa sana alikua akikuona hajiwezi.

Sema ili u maintain u handsome, uwe na hela la sivyo utapauka kweli kweli,

Pesa kidogo huku inang’aa bas watoto wote wako
Kishapigwa mtu.
 
Yani ukiwa handsome hutumii nguvu nyingi, unaweka miadi na mtoto, ukikutana nae, ukivuta tu anakuja kifuani hana pingamizi.

Mwishowe anafunguka kua alikua nakuelewa sana alikua akikuona hajiwezi.

Sema ili u maintain u handsome, uwe na hela la sivyo utapauka kweli kweli,

Pesa kidogo huku inang’aa bas watoto wote wako
Vipi tukikutaka unatoa??
usiwe mchoyo
 
Hizi ni chuki zisizo na msingi. Wanaume wenye sura nzuri wapo. Hata Yusufu kwenye biblia anatajwa kama mwanaume handsome sana kuwahi kutokea ndo maana mke wa kigogo alimtaka kimapenzi. Binafsi mwaka 2000 nikiwa form one nilikutana na mama fulani siku ya jumamosi tukiwa tumeenda mjini.. yule mama alinisimamisha na kuniuliza jina akaniambia kwa jinsi ninavyoonekana itakuwa primary nilisoma english medium. Mwaka huohuo nilienda likizo fupi kwa mama mdogo sasa kuna siku rafiki yake akamuuliza kwa kilugha huyu mtoto handsome ni wa kwa nani akifikiri sijui kilugha...

Hali ya kuitwa itwa handsome ilikoma nilipomaliza form six hadi chuo. Kama miaka 8 hivi. Hali yangu ilikuwa mbaya sana kiuchumi mpaka mwonekano. Mwaka 2014 ndo kahaba mmoja niliyemchukua pale Mrina Annex akaniambia mimi ni handsome. Mwaka 2017 pia kahaba mwingine wa pale Sewa Bar Buguruni aliniambia kwa jinsi nilivyo haipendezi mimi kwenda Sewa kununua ndo nikaacha hiyo tabia.
MORAL OF THE STORY: Ma-handsome tupo na sio wake za watu. Hiyo kauli yako ni ya chuki dhidi yetu.
Kwaio walivyokwambia na wewe ukajiridhisha na kuridhika.

Mtu pekee ninayeweza kumuelewa akiniita handsome ni mama yangu mzazi, na si mtu yeyote yule kwenye hii dunia.

Mtu akikuita ama kukwambia wewe ni handsome ni kama amekutusi. (Neno Gentleman linanitosha)

NB: Uhendisome sio huo wa kuvaa hereni, kusuka na kujichubua. Mwanaume hana mapambo. Endeleeni tu kuitwa wazuri wazuri kwenye dunia hii iliyochangamka.
 
Mi najuq huku jamii forum level ya u- HB hakun huyu katokea wap
 
Kwaio walivyokwambia na wewe ukajiridhisha na kuridhika.

Mtu pekee ninayeweza kumuelewa akiniita handsome ni mama yangu mzazi, na si mtu yeyote yule kwenye hii dunia.

Mtu akikuita ama kukwambia wewe ni handsome ni kama amekutusi. (Neno Gentleman linanitosha)

NB: Uhendisome sio huo wa kuvaa hereni, kusuka na kujichubua. Mwanaume hana mapambo. Endeleeni tu kuitwa wazuri wazuri kwenye dunia hii iliyochangamka.
Wewe K una hasira sana za kifala sana. Sasa mama yako anaweza kukuambia una sura mbaya? Kuwa handsome sio kuvaa hereni wala kujichubua.
 
Ndo uniandikie gazeti lote hilo, nimeishia kwa Yusuph kwahiyo mwenzetu wewe unajifananisha na huyo mtume wa Mungu?? Kwani na wewe ni nabii au mtume au mpakwa mafuta au labda unaishi karne ipi mwenzetu hii hii tuliyomo? Halafu hakuwa anajisifia hivi sifa zake zilimkuta akiwa hana habari muwe mnajilinganisha na mnaofanana nao,

nyie ni wake za watu ndo nishasema njoeni mnipige mkija na bwana zenu nawachukua mnaachwa
Yusuf alikuwa malaika? Sura mbaya sio ulemavu. Hakuna haja ya kuwachukia watu kisa wewe una sura mbaya.
 
Back
Top Bottom