Labella
JF-Expert Member
- Jun 26, 2024
- 1,949
- 4,759
Au sio 😂😂😂Ahahaha ni mke wangu mkuu...
Unajua wadada nyie huwa mna mambo yenu personal mi siwezi kuyaingilia....
Ni vyema tu ukaruhusu nipate namba hizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au sio 😂😂😂Ahahaha ni mke wangu mkuu...
Unajua wadada nyie huwa mna mambo yenu personal mi siwezi kuyaingilia....
Ni vyema tu ukaruhusu nipate namba hizo
Ndio mkuu au takupa mimi namba yake muongee mimi siwezi ingilia mambo yenu wadada kwa kweliiiAu sio 😂😂😂
Hao ni Malaya tu rafiki yanguYaani ukiwa handsome hutumii nguvu nyingi, unaweka miadi na mtoto, ukikutana nae, ukivuta tu anakuja kifuani hana pingamizi.
Mwishowe anafunguka kuwa alikuwa nakuelewa sana alikua akikuona hajiwezi.
Sema ili u maintain u handsome, uwe na hela la sivyo utapauka kweli kweli,
Pesa kidogo huku inang’aa basi watoto wote wako
😂😂😂 Illegal fishingNdio mkuu au takupa mimi namba yake muongee mimi siwezi ingilia mambo yenu wadada kwa kweliii
Sasa kama wadada mmefikia huko... Kweli hampendani kabisa😂😂😂 Illegal fishing
😂😂😂 kweli dahNyie mahendsome nawapenda sana natamani niwe nawapiga rungu tu mda wote
I wish i could be moderatorNice to know unajijua so behave like a straight man na utuache gays
dhambi gani mtoto mzuri wewee... em njooMi naogopa dhambi
Baby hadi huku upo?? 😂😂😂😂😂😂 kweli dah
Hili ndio tatizo la wanaopenda kusifiwa wazuri wazuri kama wewe. Haya kila la kheri ndugu.Wewe K una hasira sana za kifala sana. Sasa mama yako anaweza kukuambia una sura mbaya? Kuwa handsome sio kuvaa hereni wala kujichubua.
Kwa maajabu yapi uko nayo na wee shosti siwezi katu kuwa na mwanaume km mwanamke yani mke wa mtuSoku ukidate na mtu kama mimi utatangzia dunia
Lakini ladha ya supu na chai ni tofauti japokuwa zote zimechemshwa kwa majiMaji ya chai na ya supu yote yananafanana tofauti yake ni rangi na ladha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndioo unanitaka or
Em achana nae huyo Dear, and stress za maisha, mpotezee.Nice to know unajijua so behave like a straight man na utuache gays
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa maajabu yapi uko nayo na wee shosti siwezi katu kuwa na mwanaume km mwanamke yani mke wa mtu