Ukiwa handsome, kutongoza ni kama kucheza game in “Easy mode”

Ukiwa handsome, kutongoza ni kama kucheza game in “Easy mode”

haszu

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2017
Posts
978
Reaction score
2,313
Yaani ukiwa handsome hutumii nguvu nyingi, unaweka miadi na mtoto, ukikutana nae, ukivuta tu anakuja kifuani hana pingamizi.

Mwishowe anafunguka kuwa alikuwa nakuelewa sana alikua akikuona hajiwezi.

Sema ili u maintain u handsome, uwe na hela la sivyo utapauka kweli kweli,

Pesa kidogo huku inang’aa basi watoto wote wako
 
Yani ukiwa handsome hutumii nguvu nyingi, unaweka miadi na mtoto, ukikutana nae, ukivuta tu anakuja kifuani hana pingamizi.

Mwishowe anafunguka kua alikua nakuelewa sana alikua akikuona hajiwezi.

Sema ili u maintain u handsome, uwe na hela la sivyo utapauka kweli kweli,

Pesa kidogo huku inang’aa bas watoto wote wako
Bila picha ni umbea tu in Kapeace voice
 
Yani ukiwa handsome hutumii nguvu nyingi, unaweka miadi na mtoto, ukikutana nae, ukivuta tu anakuja kifuani hana pingamizi.

Mwishowe anafunguka kua alikua nakuelewa sana alikua akikuona hajiwezi.

Sema ili u maintain u handsome, uwe na hela la sivyo utapauka kweli kweli,

Pesa kidogo huku inang’aa bas watoto wote wako
Inafikiaga hatua mnajichubua......najivunia kuwa bad man
 
Wenye sura ngumu tukutane hapa. We are men for God's sake! 💪💪💪

supreme__tz_20240529_25.jpg


 
Back
Top Bottom