Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Pesa ni sabuni ya roho. Ukishindwa kutatua matatizo yako binafsi ama ya ndugu ama familia unakuwa kama mjinga mjinga hivi. Kichwa inajawa na stress.
Unakuta mwanaume anaongea sauti ya kike.Sauti nyembambaaa.
Hasa wanaume wengi wakikosa pesa hujikuta wanaongea peke yake barabarani na wanajawa na hasira.
Pesa bhana.Shida sana.
Unakuta mwanaume anaongea sauti ya kike.Sauti nyembambaaa.
Hasa wanaume wengi wakikosa pesa hujikuta wanaongea peke yake barabarani na wanajawa na hasira.
Pesa bhana.Shida sana.