Ukiwa huna hela usipende chatting ndefu na mwanamke

Ukiwa huna hela usipende chatting ndefu na mwanamke

Mbishi 4 real

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2014
Posts
640
Reaction score
651
Nakusanua mwanaume mwenzangu

Kama huna hela usipende sana kuchati mara kwa mara na mtoto wa kike

Sina maana usiwasiliane na mpenzi wako lahasha ila hii itakusaidia kukwepa vizinga vya hapa na pale

Siku ukiwa vizuri financially hapo sasa unaweza kuchati as you wish ila kama huna kitu jitahidi kumkwepa flani

Najua wadada huu uzi wataunanga kwa misemo yao ya "tafuta hela" but i don't give a damn mana mimi sina tatizo na mpenzi wangu na tupo fresh kabisa.
 
IMG-20240514-WA0281.jpg
 
Nakusanua mwanaume mwenzangu

Kama huna hela usipende sana kuchati mara kwa mara na mtoto wa kike

Sina maana usiwasiliane na mpenzi wako lahasha ila hii itakusaidia kukwepa vizinga vya hapa na pale

Siku ukiwa vizuri financially hapo sasa unaweza kuchati as you wish ila kama huna kitu jitahidi kumkwepa flani

Najua wadada huu uzi wataunanga kwa misemo yao ya "tafuta hela" but i don't give a damn mana mimi sina tatizo na mpenzi wangu na tupo fresh kabisa.

Ukimtakaaa uwe na hela, salamu nyingi, maneno mengi unamkera

repeat chorus
 
Mbona hata wenye hela wenyewe hawachati meseji ndefu.

Utaona meseji fupi tu ya "BFF4DIVVTKMKE Imethibitishwa. Tsh350,000.00 imetumwa kwa J4HKU M-PESA tarehe 15/6/24 saa 7:24 PM. Salio lako la M-Pesa ni Tsh........"
 
Laki tatu hii hii ya elfu kumi 30 mkuu akikwambia kusuka, kuchat, bando, na nauli imebaki nn
Mkuu usidate na mshangazi ambaye Ni " Liability" Yaani yupo yupo tu anataka umhudie mpaka hela ya bundle.

Tafuta mshangazi ambaye anajishughulisha na chochote aidha saloon au genge.
Don't date a Liability bro.
 
Back
Top Bottom