Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Wahalifu wakubwa 😂😂😂Mbn hzo raha zote unaweza pata kwa single mama wa age Yako tu....we focus na mwanae tu magift utakula kila aina ya raha utapewa na mtoto wa pili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahalifu wakubwa 😂😂😂Mbn hzo raha zote unaweza pata kwa single mama wa age Yako tu....we focus na mwanae tu magift utakula kila aina ya raha utapewa na mtoto wa pili
Lamomy ujue sijapenda hio avatar mpya uliyoweka.Rudisha ile uliyokuwa unatumia mwanzoniMimi mbona nachat sana na mpz wangu na simuombi pesa!! Au nitakuwa na matatizo ila sijijui??
😁😁😁Mkuu fridge haligandishi kbsLamomy ujue sijapenda hio avatar mpya uliyoweka.Rudisha ile uliyokuwa unatumia mwanzoni
upimwe mkojoMimi mbona nachat sana na mpz wangu na simuombi pesa!! Au nitakuwa na matatizo ila sijijui??
Teh teh teh 😃 😃 maisha hayaendi hivyo bhana....Kama huna pesa usiwe na mpenzi kabisa, huo muda wa kuwa na mahusiano na mtu ni bora uutumie kutafuta pesa.
Muulize inamuuma kwanini?? 😂😂😂😁😁😁Mkuu fridge haligandishi kbs
Nakutumia laki Saba uondoe hiyo avatar urudishe ile uliyokuwa unatumia kabla.Hii sio nzuri hata kidogoHii avatar mbona mnaisema sana!! Ina nini kwani? Huyo ni avatar ya msanii wangu pendwa bana.
😂😂😂😂 Itabidiupimwe mkojo
Inakutisha kwani? Halafu mimi nimeipenda kuliko avatar zote nilizowahi kuweka 🤣Nakutumia laki Saba uondoe hiyo avatar urudishe ile uliyokuwa unatumia kabla.Hii sio nzuri hata kidogo
Basi sawa,acha tuishi nayo tutaizoea tu with time, umesema Ni msanii gani yuleInakutisha kwani? Halafu mimi nimeipenda kuliko avatar zote nilizowahi kuweka 🤣
Itakua anahisi we ndo yule muhasibu wa Nicky aliefanya powa chuo....kumbe we muuza vijora mwenye mastersMuulize inamuuma kwanini?? 😂😂😂
Mwanao Jacob Mkweche anakuhama chama la kataa ndoa, tayari kavesha mtu peteIli niwe free kuchat sana na mijimama inatakiwa niwe na kama kiasi gani cha pesa?
Dogo nakusalimu kwa jina la jamhuri🤣🤣Ukute mpo bar yy anapiga ulabu ww unaangalia mpira 🤣huo usumbufu wake sasa, mara akae pembeni yako akulalie lalie kuwaonesha marafiki zake unampenda sana .....kama unachat anaangalia screen ya simu yako
Sema hii kuitwa 'dogo' Kuna namna inakera ni kama uneniweka rank sawa na mitoto ya 2000Dogo nakusalimu kwa jina la jamhuri🤣🤣
Nlikuwa nae juzi kanambia Ile kiki tuMwanao Jacob Mkweche anakuhama chama la kataa ndoa, tayari kavesha mtu pete
Kesho nitaitoa basi usiwaze rafikiBasi sawa,acha tuishi nayo tutaizoea tu with time, umesema Ni msanii gani yule
😂😂😂😂 Mbona hawakuulizi ww avatar ya mkweche?? Basi naweka ya mamaItakua anahisi we ndo yule muhasibu wa Nicky aliefanya powa chuo....kumbe we muuza vijora mwenye masters
Wewe ulisema huwa unachati Sana na mpenzi wako lakini humuombi hela eti😅Kesho nitaitoa basi usiwaze rafiki
Kweli kabisa!! Nahisi nitakuwa na tatizo!! Au ww unaonaje?? 😂Wewe ulisema huwa unachati Sana na mpenzi wako lakini humuombi hela eti😅