Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,851
- 9,472
Nzuri mrembo uko poa? Mibazazi haikusumbi humu? HahahahahHusninyo 🥰, za miaka tele.....umemisika sanaaa na preta 😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nzuri mrembo uko poa? Mibazazi haikusumbi humu? HahahahahHusninyo 🥰, za miaka tele.....umemisika sanaaa na preta 😁
Nzuri mrembo uko poa? Mibazazi haikusumbi humu? Hahahahah
Inasikitiaha sana unakuta mdangaji anaetegemea kutombwa ili aweze kuishi anamwambia mwanaume anaejitegemea "tafuta hela". Hivi kati ya hao wawili ni nani wa kumwambia mwenzake tafuta hela.!... akili za wakina dada wa hii nchi zinahitaji kufanyiwa brain engeneering kubwa sana.Najua wadada huu uzi wataunanga kwa misemo yao ya "tafuta hela" but i don't give a damn mana mimi sina tatizo na mpenzi wangu na tupo fresh kabisa.
Kumbe upo ndugu yangu!Jitahidi upate hata hela ya bando
Kwa sasa mapenzi ni biashara, wanawake washaonyesha ivyo kwa maneno na vitendo ni sisi wanaume tu ndio bado tunajivuta vuta kuukubali huo ukweli.Sasa hayo mapenzi maumivu, ukiwa na dem ambaye upendo wake mpaka ukiwa na hela,ila ukipitia changamoto za kiuchumi hakuelewi achana nae.
Ulikuwaga unatumia ID gani vileeeee😊Kumbe upo ndugu yangu!
Muda mrefu mno aisee.
Naunga mkono hija…….. kwa msisitizo ni kwamba mwanaume unae jielewa usichati zaidi ya txt 5 na mwanamke mesej zingine jibu hata baada ya saa 5 …. Utanishukuru badayeNakusanua mwanaume mwenzangu
Kama huna hela usipende sana kuchati mara kwa mara na mtoto wa kike
Sina maana usiwasiliane na mpenzi wako lahasha ila hii itakusaidia kukwepa vizinga vya hapa na pale
Siku ukiwa vizuri financially hapo sasa unaweza kuchati as you wish ila kama huna kitu jitahidi kumkwepa flani
Najua wadada huu uzi wataunanga kwa misemo yao ya "tafuta hela" but i don't give a damn mana mimi sina tatizo na mpenzi wangu na tupo fresh kabisa.
Sijawahi kubadilisha I'd, nyie ndio mliokuwa wenyeji wetu kipindi hicho ndio maana sijakusahau na wengi ambao hawapo active kwa wakati huu.Ulikuwaga unatumia ID gani vileeeee[emoji4]
Asanteeee😍Sijawahi kubadilisha I'd, nyie ndio mliokuwa wenyeji wetu kipindi hicho ndio maana sijakusahau na wengi ambao hawapo active kwa wakati huu.
Niliambiwa umeolewa. Yani kwa kifupi mjukuu unanithibitishia babu yako kwamba hivi sasa wewe sio bikira tena?hahahaha. Na akina ze boss nao wamefulia.
Jipange basi tubebike pamoja. Mi pia napenda kutoa kwa warembo. Kwahiyo tutakuwa tunajibebisha kwa kupeana bila kuombanaSiipendi kabisaaa.!! Wasichana wenzangu wananicheka sana. Kuna siku nilipanga niombe, ahiii nilijikanyaga mpk sio pouwa 😂
Alishanijua hivyo ananiwekea tyuu au ananipa card yake ila naweza nikakaa nayo au nikamtumia pesa mama yake.!!
Ww mzee umeanza lini kuvizia wajukuu zako?? Bibi Sakayo yuko wapi siku hizi?Jipange basi tubebike pamoja. Mi pia napenda kutoa kwa warembo. Kwahiyo tutakuwa tunajibebisha kwa kupeana bila kuombana
Ukweli mtupu,imenighalimu juziNakusanua mwanaume mwenzangu
Kama huna hela usipende sana kuchati mara kwa mara na mtoto wa kike
Sina maana usiwasiliane na mpenzi wako lahasha ila hii itakusaidia kukwepa vizinga vya hapa na pale
Siku ukiwa vizuri financially hapo sasa unaweza kuchati as you wish ila kama huna kitu jitahidi kumkwepa flani
Najua wadada huu uzi wataunanga kwa misemo yao ya "tafuta hela" but i don't give a damn mana mimi sina tatizo na mpenzi wangu na tupo fresh kabisa.