Ukiwa jikoni halafu ukawa unapendwa sana na ukawa mshikaji wake unasogezewa mwiko unaambiwa onja chumvi kama iko sawa💕😀

Ukiwa jikoni halafu ukawa unapendwa sana na ukawa mshikaji wake unasogezewa mwiko unaambiwa onja chumvi kama iko sawa💕😀

Magical power

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2022
Posts
2,158
Reaction score
5,626
Ukiwa jikoni halafu ukawa unapendwa sana na ukawa mshikaji wake unasogezewa mwiko unaambiwa onja chumvi kama iko sawa💕😀

Mpe kampani huko jikoni mkipiga stori za hapa na pale. Wanawake wanapenda sana ila sisi wanaume huwa tunaona kukaa jikoni na mkeo ni ugai gai ila ni moja ya kitu bora sana kwao
 

Attachments

  • 1731747053311.jpg
    1731747053311.jpg
    68.2 KB · Views: 8
Ukweli ni kwamba kuna wanawake hawajui mapenzi hata kidogo,Sisemi kwamba hakupendi La Hasha

ila kuna zile tashtiti kama hizo za kuambiwa onja chumvi,mara hiki mara kile Hawana kabisaaaa

Yani ni mishamba mishamba mishamba,ukweli ndio maana tunachepuka na hii mishamba ni mingi siku hizi

sijapata ONA sema Fresh tunaishi nao maana ndio wife material wenyewe hao
 
Ukweli ni kwamba kuna wanawake hawajui mapenzi hata kidogo,Sisemi kwamba hakupendi La Hasha

ila kuna zile tashtiti kama hizo za kuambiwa onja chumvi,mara hiki mara kile Hawana kabisaaaa

Yani ni mishamba mishamba mishamba,ukweli ndio maana tunachepuka na hii mishamba ni mingi siku hizi

sijapata ONA sema Fresh tunaishi nao maana ndio wife material wenyewe hao
Una hasira...
Si umwambie unapenda tashtiti.. na wewe ukionesha Kwa mfano+mazingira yaruhusu
 
Ukiwa jikoni halafu ukawa unapendwa sana na ukawa mshikaji wake unasogezewa mwiko unaambiwa onja chumvi kama iko sawa💕😀

Mpe kampani huko jikoni mkipiga stori za hapa na pale. Wanawake wanapenda sana ila sisi wanaume huwa tunaona kukaa jikoni na mkeo ni ugai gai ila ni moja ya kitu bora sana kwao
Mwanaume umefuata nini jikoni wakati kuna mwanamke uko?, kesho atakwambia ukae kwenye kibao cha mbuzi umsaidie kukuna nazi na wewe utakubali tu.
 
Ukweli ni kwamba kuna wanawake hawajui mapenzi hata kidogo,Sisemi kwamba hakupendi La Hasha

ila kuna zile tashtiti kama hizo za kuambiwa onja chumvi,mara hiki mara kile Hawana kabisaaaa

Yani ni mishamba mishamba mishamba,ukweli ndio maana tunachepuka na hii mishamba ni mingi siku hizi

sijapata ONA sema Fresh tunaishi nao maana ndio wife material wenyewe hao
😂😂kasheshe
 
Ukweli ni kwamba kuna wanawake hawajui mapenzi hata kidogo,Sisemi kwamba hakupendi La Hasha

ila kuna zile tashtiti kama hizo za kuambiwa onja chumvi,mara hiki mara kile Hawana kabisaaaa

Yani ni mishamba mishamba mishamba,ukweli ndio maana tunachepuka na hii mishamba ni mingi siku hizi

sijapata ONA sema Fresh tunaishi nao maana ndio wife material wenyewe hao
Na ina wivu hatari hiii mijike ya hivi! lkn haina mbinu yoyote ya kuishi na mwanaume
 
Ukiwa jikoni halafu ukawa unapendwa sana na ukawa mshikaji wake unasogezewa mwiko unaambiwa onja chumvi kama iko sawa💕😀

Mpe kampani huko jikoni mkipiga stori za hapa na pale. Wanawake wanapenda sana ila sisi wanaume huwa tunaona kukaa jikoni na mkeo ni ugai gai ila ni moja ya kitu bora sana kwao
Baba mzima unashinda jikoni. Hii labda unaongelea mkiwa singles. Kwa hiyo unakaa kusubiri upewe upawa uonje mchuzi ambao nyama umenunua mwenyewe?
 
Ukiwa jikoni halafu ukawa unapendwa sana na ukawa mshikaji wake unasogezewa mwiko unaambiwa onja chumvi kama iko sawa💕😀

Mpe kampani huko jikoni mkipiga stori za hapa na pale. Wanawake wanapenda sana ila sisi wanaume huwa tunaona kukaa jikoni na mkeo ni ugai gai ila ni moja ya kitu bora sana kwao
Ni mwanzo wa mwanaume kuwa mbeya mmbeya
 
Back
Top Bottom