Ukiwa Kama Mtanzania mwenye akili timamu unakubaliana na haya yanayoendelea?

"Tulipompata Rais wetu Mpendwa Magufuri kalibu kila mtu alilizika, na utendaje wake wa"

Futa huu upumbavu😳
 
Dah!

hao ni watoto, tunaweza kuwachukulia hivyo hivyo kwa utoto wao; lakini kumbe wewe hujawahi kukutana na mtu hatari zaidi ya hao watoto?
Huyu ambaye hujakutana naye sijui tumuite ni nini wa huyo mama, bila shaka atakuwa ni "mpango wa pembeni" wa mama.
Na huyo si mwingine bali ni 'shetani, mvuta bangi', kwa jina akiitwa 'Tlaatlaah'! Mara nyingine hujitambulisha huyu ndiye 'Chura Kiziwi' mwenyewe. Kama siyo mpango wa kando, nani mwingine wa kujipachika sifa hiyo huku akiwa hana!

Hebu mpigie makofi kwa utambulisho huu 'Tlaatlaah'
 
Hivi Makonda hajatia neno kwenye mgomo wa wamasai? Ngorongoro iko mkoa wa Arusha ujue.... au bado anaendelea na likizo? 😳 🤔
 
Atachongesha viatu mkuu ataendelea kuupiga mwingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…