Ukiwa kama mzazi, ukifahamu mtoto wako anashiriki mapenzi ya jinsia moja utafanya nini?

Ukiwa kama mzazi, ukifahamu mtoto wako anashiriki mapenzi ya jinsia moja utafanya nini?

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Hili swala tunalijadili, tunaona vijana wa kiume wanavyoharibika lakini uneshawahi kifikiria likikitokoea kwa mtoto wako utafanya nini?

Kuna mtu ninamfahamu amepata mental break down baada ya kufahamu kijana wake ana boyfriend.
 
Ni mtihani kwa kweli. Ni ngumu hata kuwaza hatua ya kuvhukua.

Kuna sehemu nilienda kumtembelea mtu nikakuta mtoto wa miaka sita anachapwa na mzazi wake kisa ni kukutwa kwenye pagale akiwa na mtoto wa umri sawa naye wakifanya yao.

Na hawa watoto wote ni wa kiume
 
Hili swala tunalijadili, tunaona vijana wa kiume wanavyoharibika lakini uneshawahi kifikiria likikitokoea kwa mtoto wako utafanya nini?

Kuna mtu ninamfahamu amepata mental break down baada ya kufahamu kijana wake ana boyfriend.

Umakini wa wazazi unahitajika sana kwenye malezi ya watoto,haitakiwi kumuacha mtoto bila supervision, Matron/Patron wawasaidie wazazi kipindi mtoto akiwa shule, supervision ni muhimu kwa 100%, mtoto hatakiwi kulala na wageni, inapendeza kama una ukwasi kila mtoto awe analala kitanda chake(kama chumba kimoja) au chumba chake peke yake.
 
Watoto wengi wanapitia kipindi cha majaribio km haya na wala haimaanishi kuwa watakuwa mashoga.
Ni mtihani kwa kweli. Ni ngumu hata kuwaza hatua ya kuvhukua
Kuna sehemu nilienda kumtembelea mtu nikakuta mtoto wa miaka sita anachapwa na mzazi wake kisa ni kukutwa kwenye pagale akiwa na mtoto wa umri sawa naye wakifanya yao. Na hawa watoto wote ni wa kiume
 
Ni mtihani kwa kweli. Ni ngumu hata kuwaza hatua ya kuvhukua
Kuna sehemu nilienda kumtembelea mtu nikakuta mtoto wa miaka sita anachapwa na mzazi wake kisa ni kukutwa kwenye pagale akiwa na mtoto wa umri sawa naye wakifanya yao. Na hawa watoto wote ni wa kiume

Akizoea huo mchezo ndiyo mwanzo wa kuwa gasho.
 
Inaniuma kuna rafiki yangu nilisoma naye nishoga Tena namuona Sana fb anajipost, wakati mwamba alikuwa fresh kabisa wakati tukiwa shule

Binadamu wabayaaaa

Aiseee ongeza nyama kidogo,kipindi mpo shule ilikuwa level gani wakati mwamba yupo fresh? Nini unaweza kuhisi chanzo cha mabadiliko kwa jinsi lifestyle lake wakati mpo naye?
 
Umakini wa wazazi unahitajika sana kwenye malezi ya watoto,haitakiwi kumuacha mtoto bila supervision,Matron/Patron wawasaidie wazazi kipindi mtoto akiwa shule ,supervision ni muhimu kwa 100%,mtoto hatakiwi kulala na wageni ,inapendeza kama una ukwasi kila mtoto awe analala kitanda chake(kama chumba kimoja) au chumba chake peke yake.
Shule za boarding hasa hizi English Medium ni shida, watoto wa kiume wanaharibika sana in boarding schools.
 
Ilikuwa O' level kiongozi pia hakuwahi kuwa na element hizo za ushoga wakati tukiwa pale Shule, ila baada ya kupotezana naye almost miaka 3 nikamuona fb Yuko tofauti na yule niliyesoma naye

Nilijaribu kuwaeleza washikaji wakaniambia mbona kitambo mshikaji kawa bwabwa, ilinishangaza kwakweli, Hii Dunia Kuna watu wanaijua kuliko tuijuavyo
 
Shule za boarding hasa hizi English Medium ni shida, watoto wa kiume wanaharibika sana in boarding schools.

Inasikitisha ,Kuna jamaa aliharibiwa Boarding Maua Seminary wakati akiwa Olevel na alifaulu vizuri tu alipata A tisa ,tukakutana Advance akiwa tayari GASHO,Shule za boarding nazo ni machaka ya Lesbians/Gays/LGBT.

Aint Svck a D!ck ,No Homo.
 
Back
Top Bottom