Ameen Thuma AmeenBaraka na Neema za Mwenyezi Mungu zikaonekane katika kazi na majukumu yako yote ya leo.
Mwenyezi Mungu akubariki na akusimamie. Nakutakia kazi na majukumu mema rafiki.
Amen π
Kwa nini hutaki!!??Sitaki
Hili nalo mkalitazameMajobless tukomment wapπ€
AmenBaraka na Neema za Mwenyezi Mungu zikaonekane katika kazi na majukumu yako yote ya leo.
Mwenyezi Mungu akubariki na akusimamie. Nakutakia kazi na majukumu mema rafiki.
Amen π
JobleeeeJobless tunapita kimya kimya π
Kwel hata ualimu tumekosa ππmwanangu twende geita tukasake madiniJobleeee
Kuna deal nimepata la Vodacom mkuu...Kwel hata ualimu tumekosa ππmwanangu twende geita tukasake madini