Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu unazinguahilo neno “uliyechangamka “ nimecheka sana,kuna mtu humu alisema mzee cheyo ni polepole aliyechangamka
anyway nimekuelewa ujumbe wako mkuu nikiwa kama kijana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu unazingua
Hii ndio JF ukiwa na stress zako ukaja uku lazima zitaisha tu[emoji1787]kweli kabisa mkuu,[emoji23] yani kuna maneno yaninifurahisha sana jingine ni UTOPOLO huwa nafurahi sana kupitia humu JF
Hukawii kuambiwa unapiga chaboNyumba yenyewe ya kupanga nitazunguka zunguka ili iweje unataka niitwe mchawi?
Ndio kawaida ya akina mama mkuu, watoto wakiwa wadogo wenu...wakianza kukua anawapa sumu na kujidai alipambana mwenyewe! Mim wa mwisho kwa familia yetu,mama alijaribu hizo attempts japo anaweka kama mazungumzo ya kawaida, kwangu aligonga mwamba,naenda kuwatembelea namjaza mshua hela, afu nampa na yeye kwa siri, nikitaka kuondoka naacha 50 hadharani..bas kila mtu anakua happy na kuona ameshinda, lakin kiuhalisia nlikua nahalikisha mzee anapata hela nyingi! Umiliki wa mali na watoto daima ndio azma ya mwanamke yyte na umiliki ndio maumbile ya kike! Ndio maana mara chache sana mama mkwe na mke wa mwanae kuelewana inakua shida kwa kuwa wote wanahangaikia umiliki!najifunza kwa baba jinsi ya kuishi na mke.maana mamazetu hukaa kutujaza sumu kwamba baba zetu wanawatesa sana!!kumbe midomo yao na chokochoko zisizoisha ndio sababu