Ukiwa kijana wa kiume jifunze kuishi kama baba kabla ujafikia majukumu

Ukiwa kijana wa kiume jifunze kuishi kama baba kabla ujafikia majukumu

Tabia ya kuamka Usiku na kuzunguka Nyumba na Mazingira ni tabia unayopaswa kujifunza tangu ukiwa na geto sio unakoroma tu hadi Asubuhi unapoteza nafasi kubwa kuja kuwa Mshua Uliyechangamka.

Na nimeenda😜🏃🏃
Kuna mgombea huku Vunjo (ana mke na watoto) pamoja na kuletwa na kupigiwa debe na Mama yake kaambulia kura **SIFURI** nilishangaa Sana. 1. Unaendaje ujombani ukaacha kwenda kwenu -upande wa Baba (Upareni).
2. Utabebwa na Mama mpaka lini?
 
Hi
 

Attachments

  • salim.binti_20200719_202129_4.jpg
    salim.binti_20200719_202129_4.jpg
    133.5 KB · Views: 1
najifunza kwa baba jinsi ya kuishi na mke.maana mamazetu hukaa kutujaza sumu kwamba baba zetu wanawatesa sana!!kumbe midomo yao na chokochoko zisizoisha ndio sababu
We Nini kujitafutia laana?mama yako hatosikia Wala hatosoma hapa Ila Mungu anakuona tu
 
Back
Top Bottom