Kuna mgombea huku Vunjo (ana mke na watoto) pamoja na kuletwa na kupigiwa debe na Mama yake kaambulia kura **SIFURI** nilishangaa Sana. 1. Unaendaje ujombani ukaacha kwenda kwenu -upande wa Baba (Upareni).Tabia ya kuamka Usiku na kuzunguka Nyumba na Mazingira ni tabia unayopaswa kujifunza tangu ukiwa na geto sio unakoroma tu hadi Asubuhi unapoteza nafasi kubwa kuja kuwa Mshua Uliyechangamka.
Na nimeenda😜🏃🏃
Mtoto wa kiume kupaka Make-up je?huwezi amini kuna mtoto wakiume anakojoa ndani !
na nyumba si self
Hivi utopolo ni nini hasa?kweli kabisa mkuu,[emoji23] yani kuna maneno yaninifurahisha sana jingine ni UTOPOLO huwa nafurahi sana kupitia humu JF
Tabia ya kuamka Usiku na kuzunguka Nyumba na Mazingira ni tabia unayopaswa kujifunza tangu ukiwa na geto sio unakoroma tu hadi Asubuhi unapoteza nafasi kubwa kuja kuwa Mshua Uliyechangamka.
Na nimeenda[emoji12][emoji125][emoji125]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halafu umepanga chumba kimoja tena banda la uwani haaa haaaNyumba yenyewe ya kupanga nitazunguka zunguka ili iweje unataka niitwe mchawi?
Halafu choo chenyewe passport size haaa haaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uswahilini kuzunguka usiku usiku either unatafuta kabari au ukamatwe uchawi.
Natania [emoji23][emoji23]
We Nini kujitafutia laana?mama yako hatosikia Wala hatosoma hapa Ila Mungu anakuona tunajifunza kwa baba jinsi ya kuishi na mke.maana mamazetu hukaa kutujaza sumu kwamba baba zetu wanawatesa sana!!kumbe midomo yao na chokochoko zisizoisha ndio sababu
Ha ha haNyumba yenyewe ya kupanga nitazunguka zunguka ili iweje unataka niitwe mchawi?
Baba zao walikuwa wanalewa vilabun na kulala huko hukoKama kawaida ya wana jf kila wakiume atadai kamuiga babaake kumbe wengine utopolo mtupu.